Ubunifu wa huduma huimarisha biashara
UBUNIFU ni njia sahihi inayofanya biashara kukua lakini pia husaidia katika usalama na uhakika wa biashara husika. Katika ubunifu mfanyabiashara anapaswa kuwa na wazo la tofauti kulingana na biashara anayoifanya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-JmHnpJyrlKE/VFwF5Ctf_1I/AAAAAAAADrc/NPDqnu995dA/s72-c/Car%2Bselling.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yEci79ZZZgM/VOX3vJhhV0I/AAAAAAAHEjs/RKHTFn4LFlc/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
Waziri Mkuu Pinda Awapongeza NMB kwa Ubunifu wa Huduma zao
Mh Pinda aliyasema hayo alipotembelea banda la NMB katika hoteli ya St. Gasper ya mkoani Dodoma ambapo PSPF wanafanya mkutano wao na NMB kama mdau mkubwa ameshiriki na kuweka mabanda ya huduma mbalimbali zikiwemo za NMB Wakala, NMB E- statement na Chap Chap Instant Account kwaajili ya washiriki wa mkutano huo.
Akaunti za...
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA TANGA AUSIFU MFUKO WA GEPF KWA UBUNIFU NA HUDUMA BORA KWA WATEJA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDrvTAcStQ4nXSWoF2imHUvABGcLdkhR18zARa8cMdVR59JmohzUdPsPX*pGnBPrTvOJ0xbpDit4fGWYrtlsuiaN/mfungo.jpg)
FUNGA HUIMARISHA KINGA YA MWILI
5 years ago
CCM BlogJE UNAYAJUA MASHARTI YA UENDESHAJI WA BIASHARA YA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA.?.
Kamishna wa Sekta ndogo ya Fedha Wizara ya Fedha na Mipango,Dkt Charles Mwamwaja alipokuwa akiwasilisha mada katika semina ya Wahariri na Waandishi wa Habari kuhusu Elimu ya Sera ,Sheria na kanuni za huduma ndogo za Fedha,iliyofanyika hivi karibuni mjini Morogoro. Pamoja na mambo hayo,Kamishna Mwamwaja pia alieleza na kufafanua kuhusu Masharti ya uendeshaji wa biashara hiyo ya huduma ndogo za fedha kama yanavyoonesha hapa chini.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NMB:HUDUMA YA BIMA KUPITIA BENKI HUKUZA BIASHARA ENDELEVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kqh286useRs/XnL8CH7H3ZI/AAAAAAALkXg/JChpvrcld900VDfpwbzXXaUI-SeF3m_KACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QxxUOuVIq-k/XnL8CIKJVAI/AAAAAAALkXk/IdWH4m6mJwoWLDoZYQR3oAbj65f-N9bawCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
======= ======= ==========
Benki ya NMB imesisitiza umuhimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NMB: Huduma ya bima kupitia benki hukuza biashara endelevu
![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi, Biashara Ndogo na za Kati - Filbert Mponzi akizungumza na wateja waliohudhuria mkutano wa NMB Business Club kupata maoni yao kuhusu huduma na bidhaa za NMB.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kqh286useRs/XnL8CH7H3ZI/AAAAAAALkXg/JChpvrcld900VDfpwbzXXaUI-SeF3m_KACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Meneja wa Mikopo ya Nyumba NMB - Miranda Lutege akielezea mikopo ya nyumba wakati wa mkutano wa NMB Business Club.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QxxUOuVIq-k/XnL8CIKJVAI/AAAAAAALkXk/IdWH4m6mJwoWLDoZYQR3oAbj65f-N9bawCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
Meneja Mwandamizi wa Bima wa Benki ya NMB Martine Massawe Akielezea kuhusu Bima ‘Bancassuarance’ wakati wa mkutano wa NMB Business Club.
======= ======= ==========
Benki ya NMB imesisitiza...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Smart Codes Tanzania yazindua huduma mpya “Patikana” kusaidia biashara za kitanzania kuonekana popote duniani
Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara wote duniani hususani Tanzania kuweza kuweka biashara zao kwenye mtandao (Website).
Huduma hiyo itawezesha wafanyabiashara wakubwa na wale wadogo kusajili maji na ya biashara zao kwenye kikoa cha Tanzania DotTZ (.tz) mfano.
Kampuni ya SMART CODES inayojishughulisha na teknolojia ya mtandao, imezindua huduma mpya na ya bei nafuu kuwawezesha wafanyabiashara...
11 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA YAIWAGIA SIFA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KWA HUDUMA NZURI ZINAZOTOLEWA NA MFUKO HUO