FUNGA HUIMARISHA KINGA YA MWILI
![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDrvTAcStQ4nXSWoF2imHUvABGcLdkhR18zARa8cMdVR59JmohzUdPsPX*pGnBPrTvOJ0xbpDit4fGWYrtlsuiaN/mfungo.jpg)
Kuna funga za aina nyingi, lakini kubwa ni ya kiroho ambayo waumini hufunga kwa ajili ya kutii maamrisho ya Mungu, ingawa ufungaji wake unatofautiana kutoka dini moja hadi nyingine. Wakati Waislamu wanafunga kwa kutokula kitu chochote kuanzia asubuhi hadi jua linapozama, Wakristo wao wakati wa funga huruhusiwa kula, lakini kwa kiasi na utaratibu maalum. Tunaposikia neno kufunga, wengi tunaliangalia tendo hilo kwa upande wa...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HYDE6yYB_F4/Xp2orjufrqI/AAAAAAALnk8/HTV9cEEQbHcdVRHJKKXn_w-0wCbqj5fbACLcBGAsYHQ/s72-c/4bhkd6730dde371m5w_620C350.jpg)
LISHE BORA PAMOJA NA MAZOEZI VINAVYOWEZA KUIMARISHA KINGA YA MWILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HYDE6yYB_F4/Xp2orjufrqI/AAAAAAALnk8/HTV9cEEQbHcdVRHJKKXn_w-0wCbqj5fbACLcBGAsYHQ/s640/4bhkd6730dde371m5w_620C350.jpg)
Nimeona ni vizuri kuandika ujumbe huu mfupi kutokana na sintofahamu ya watu wengi katika jamii yetu kuhusiana na baadhi ya vyakula kutibu ugonjwa wa COVID-19 .
Kutokana na janga hili watu wengi wamejikuta wakila kundi moja la vyakula kwa madai ya kuuwa virusi vya Corona. Kuna baadhi ambao wanaamini wakitumia juice za limao na tangawizi zitawasaidia kupona ugonjwa...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Hatari: Uchomaji mifuko ya plastiki hushusha kinga za mwili, huathiri akili
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Virusi vya corona: Utegili wa wanaume una kiwango kikubwa cha kinga ya mwili
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Ubunifu wa huduma huimarisha biashara
UBUNIFU ni njia sahihi inayofanya biashara kukua lakini pia husaidia katika usalama na uhakika wa biashara husika. Katika ubunifu mfanyabiashara anapaswa kuwa na wazo la tofauti kulingana na biashara anayoifanya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcoCeyFt2W0v3ghHc1PsRc8gkUxv9ftCOkHOtTUZ041h45qujF-PSSi8OweXr63dsjVphmMrMXfT70omJFr8G2I8/afande.jpg?width=650)
HII NI FUNGA MWAKA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpxpOskP9MJRbwVmDF50CLTg0CwcdLgWw3nqaHNJ3aaa3qRih5iXL2dvJN7Mt8EglyB6Mi4P*bvkfisSOw-ZUZfx/MAZISHI.jpg?width=650)
ULINZI FUNGA KAZI
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
Uwoya Anakuja na Filamu ya Funga Mwaka
Mwigizaji mwenye mvuto wa aina yake katika filamu za Kibongo, Irene Pancaras Uwoya amesema anafunga mwaka na filamu ya kihostoria.
Amini usiamini Uwoya anakuwa mtayarishaji mkubwa wa filamu aliyetengeneza filamu hiyo m kwa gharama kubwa na kuwashirikisha wasanii wakubwa kutoka Afrika Kusini na uturuki inayokwenda kwa jina la Kisoda.
“Najaribu kutoka kimataifa kwa kutengeneza bonge la filamu na yenye wasanii wa kimataifa, naamini itanitoa na kuitoa Tanzania kimasomaso, kwani sikuangalia...
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Funga kazi Bunge la Katiba leo
10 years ago
Bongo507 Oct
New Video: Bamuyu Kijogoo — Funga Mdomo