TECNO YAJA NA UBUNIFU ZAIDI
MAKAMPUNI yanayozalisha Simu nchini yameshauriwa kuhakikisha wanakuwa wabunifu katika kusanifu na kuzalisha simu bora ili kwenda sambamba na soko na mahitaji ya wateja.
Wito huo umetolewa na Meneja mauzo wa simu za Tecno, Fred Kadilana wakati wa uzinduzi wa tolea jipya la simu aina ya Phantom 5 uliofanyika Dar es Salaam juzi.
Kadilana alisema soko la bidhaa zao linakuwa kwa kasi hususan barani Afrika hivyo wanafanya jitihada kuhakikisha wanakwenda sambamba na ukuaji wa teknolojia.
“Soko la...
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
TECNO yaja kivingine, kuzindua simu mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao Tanzania
“Hii sio tu nafasi nzuri kwa TECNO kuwasiliana na wateja...
9 years ago
Bongo504 Jan
Tecno Phantom 5 ni zaidi ya simu

Binafsi ni miongoni mwa wachache waliopata bahati ya kuitumia simu hii mpya kutoka TECNO iliyobatizwa jina la Phantom 5.
Maneno matupu hayavunji mfupa lakini chenye sifa yake kipeni. Kwa mwaka mzima wa 2015 nimeshuhudia matolea tofauti tofauti ya simu lakini nikajikuta nimedidimia kwenye dimbwi la raha baada ya kununua simu hii mpya.
Sijawahi kujutia tangu niikamate simu hii kwenye kiganja cha mkono wangu. Usishangae ndio ukweli wenyewe huo. Phantom 5 ina vitu vingi ambavyo vimekuwa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Nisha ahimiza ubunifu zaidi
MUIGIZAJI wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’, amewataka wasanii kuwa wabunifu katika uandaaji wa kazi zao ili kukuza soko. Rai hiyo imetokana na Nisha kueleza kuwa mwaka 2013 haukuwa mzuri...
10 years ago
Bongo517 Oct
Nisha kujitupa zaidi kwenye ubunifu wa mavazi
10 years ago
Bongo528 Sep
Tecno C8 sio simu, ni simu bora zaidi
10 years ago
Michuzi
Airtel yaja na Promosheni Mpya ya "shinda gari na Yatosha Zaidi"

5 years ago
Michuzi
WATUMIAJI WA TECNO CAMON 15 WAFUNGUKA
Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maduka ya TECNO kuhusu simu hiyo, watumiaji hao wamekiri kuwa CAMON 15 imekata kiu yao ya kile walichokuwa wanakihitaji siku zote kutokana na kuridhishwa na ufanisi wa mifumo...
5 years ago
Michuzi
TECNO Yawakumbuka Watoto Yatima
Tukiwa katika mwanzo wa muhula wa kwanza wa masomo, kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, imetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto yatima wa kituo cha Chanika Children Shelter kilichopo Chanika Jijini Dar es Salaam ili kuwawezesha kurudi mashuleni.Msaada huo ukiwemo wa ada kiasi cha Shilingi Milioni tatu, vifaa vya masomo, Chakula na mahitaji mengine ya kila siku umetolewa mwishoni mwa wiki.
Akizungumza wakati wa kutoa msaada huo Afisa Uhusiano wa kampuni ya TECNO Eric Mkomoye alisema...
9 years ago
GPL