Nisha kujitupa zaidi kwenye ubunifu wa mavazi
Muigizaji wa filamu, Salma Jabu aka Nisha amesema licha ya kufanya vizuri katika tasnia ya filamu anafungua kampuni yake ya mavazi itakayokuwa ikiwavalisha mastaa mbalimbali. Nisha ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshaanza kuwavalisha wanamitindo kama Hamisa Mobeto ili kuonesha uwezo wake. “Mitindo ni kitu ambacho nakipenda sana na ni ndoto yangu ya kwanza kabla sijawa muigizaji. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Nisha ahimiza ubunifu zaidi
MUIGIZAJI wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’, amewataka wasanii kuwa wabunifu katika uandaaji wa kazi zao ili kukuza soko. Rai hiyo imetokana na Nisha kueleza kuwa mwaka 2013 haukuwa mzuri...
9 years ago
Press12 Oct
TECNO YAJA NA UBUNIFU ZAIDI
MAKAMPUNI yanayozalisha Simu nchini yameshauriwa kuhakikisha wanakuwa wabunifu katika kusanifu na kuzalisha simu bora ili kwenda sambamba na soko na mahitaji ya wateja.
Wito huo umetolewa na Meneja mauzo wa simu za Tecno, Fred Kadilana wakati wa uzinduzi wa tolea jipya la simu aina ya Phantom 5 uliofanyika Dar es Salaam juzi.
Kadilana alisema soko la bidhaa zao linakuwa kwa kasi hususan barani Afrika hivyo wanafanya jitihada kuhakikisha wanakwenda sambamba na ukuaji wa teknolojia.
“Soko la...
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Baby Madaha ataka ubunifu kwenye kazi
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa filamu pamoja na muziki, Baby Madaha, amesema sanaa ya sasa inatakiwa kuwa na ubunifu, ili kuweza kufikia katika kiwango cha juu.
Akizungumza na MTANZANIA, Madaha alisema asilimia kubwa ya wasanii wanakuwa hawana ubunifu katika sanaa, kitu ambacho kinawafanya washindwe kufanya vizuri.
“Mashabiki wetu wameendelea sana na wanajua kitu bora na magumashi. Hivyo kwa sasa tunatakiwa tuendeleze ubunifu ili kuweza kuwagusa mashabiki wetu na hata kuwafikia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TsXwqua_AJ0/XnDJfiIJxnI/AAAAAAAEGVM/EI6LzNA92EIVbPGb0vNrXCdGOxivbS1aQCLcBGAsYHQ/s72-c/ELIMU%252C%252C%252C%252C%252C.jpg)
VODACOM YATAMBULISHA PEPPER ROBOT KWENYE MAONESHO YA UBUNIFU DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TsXwqua_AJ0/XnDJfiIJxnI/AAAAAAAEGVM/EI6LzNA92EIVbPGb0vNrXCdGOxivbS1aQCLcBGAsYHQ/s640/ELIMU%252C%252C%252C%252C%252C.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_2gwtF3fdi0/XnDJf_8IRkI/AAAAAAAEGVQ/zB-BedC0K6MHgLvqmaE51lth1FPNJZ4QgCLcBGAsYHQ/s640/JACK.%252Cjpg.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5IKQqTinJaA/XnDJf1eVPCI/AAAAAAAEGVU/lie_6-1b7cgmmau93chFSoTjYtqRyJj7ACLcBGAsYHQ/s640/JACK...jpg)
10 years ago
VijimamboMAVAZI YA LB YAKIWA KWENYE TOLEO JIPYA LA WOMEN OF WEALTH MAGAZINE
![](http://1.bp.blogspot.com/--frHhe4kbhU/VRNMHtr9r0I/AAAAAAADdpg/16g5hQMtYDo/s1600/FfIKtXq_vTaFdBY2c1t9dEw5la8p0R-tFEdl9PSrAk0%2CLdZWTYQ7FcJXuzgAHvPRNIydIwuZPXYtfYXzDjU7z-A%2CbvxI_rPLuyegwbU0YBistRRzU2FI_0DsoNiNe6buw7k%2CKSjdbRGMyeP-Xyr-KPz710HkJUk6FijDK_qGpF0HReo.jpg)
Linda akionyesha picha kwenye magazine za Mavazi ya LINDA BEZUIDENHOUT yaliofunika usiku wa FASHION EXPERIENCE kwenye ukumbi waFERNBANK MUSEUM week iliopita jijini Atlanta
![](http://4.bp.blogspot.com/-yWY-nEMs2KY/VRNMI91uEbI/AAAAAAADdp8/Xf144VL2omU/s1600/H02A9884.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0FbOZ_cIi4M/VRNMIuX_QNI/AAAAAAADdp4/gjJ-WQPZrSc/s1600/H7wYmAbW0_E5RH-FEftjLUa7T23evYkjh5AyeyKxmko%2CDRhBwW38qsAJ7_06ti1_M9OPd02cU6Ho999pPSK_Mbs%2C6pnFDAUIhGh4lEzVzTi4ZbKyBjTYK1WmOK1Gfv7ZFoU.jpeg)
10 years ago
GPLSEKTA YA UMMA YAOMBWA KUIMALISHA UBUNIFU KWENYE SAYANSI HAI
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Serikali yakanusha uvumi uliokuwa umeenea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mavazi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa ofisini kwake.
Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo inapenda kuujulisha Umma kwamba kumekuwapo na upotoshwaji unaondelea katika mitandao ya kijamii hususan facebook, Instagram na WhatsApp ambapo sehemu ya upotoshaji huo imenukuliwa kama ifuatavyo “Wizara imetoa tamko kuwa kuanzia januari 2016 mavazi yote yasiyo stahiki ambayo hayaendani na mila na desturi zetu Wizara yangu na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Bongo503 Oct
Picha: Mtoto wa Lamar (Nisha) na mtoto wa Gelly wa Rhymes (Queen) nani mrembo zaidi?
10 years ago
Vijimambo03 Nov
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI