VODACOM YATAMBULISHA PEPPER ROBOT KWENYE MAONESHO YA UBUNIFU DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TsXwqua_AJ0/XnDJfiIJxnI/AAAAAAAEGVM/EI6LzNA92EIVbPGb0vNrXCdGOxivbS1aQCLcBGAsYHQ/s72-c/ELIMU%252C%252C%252C%252C%252C.jpg)
Mratibu wa mradi wa Instant Schools ulio chini ya Vodacom Tanzania Foundation,Christine Lucas (kushoto) akitoa maelezo kwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia ,Dk Avemaria Semakafu wakati alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya mashindano ya Sayansi na Teknolojia na Ubunifu yaliyoandaliwa na Wizara hiyo kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma leo.
Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania , Jacquiline Materu (kulia) akiwapa maelezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Jan
Balozi: Watanzania tumieni vizuri maonesho ya ubunifu ya Oman
WATANZANIA wanaoshiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa, Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea nchini Oman, wametakiwa kuitumia vyema fursa ya kimataifa waliyoipata kwa kufuata vyema miongozo waliyopewa ili ziara yao iweze kuleta tija.
10 years ago
MichuziUBUNIFU WA KUVUTIA WATEJA katika MAONESHO YA Kimataifa MASCUT OMAN
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LOveWb2dIvs/VN45KqyGMmI/AAAAAAAHDnI/_20_oyDTT0I/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
Tanzania yanogesha Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni nchini oman
10 years ago
MichuziTANZANIA YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA SANAA,UBUNIFU NA UTAMADUNI NCHINI OMAN
10 years ago
MichuziNHIF YAZOA VIKOMBE VYA UBUNIFU KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA.
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA ORIFLAME YATAMBULISHA BIDHAA ZAKE KWENYE SOKO LA TANZANIA
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Baby Madaha ataka ubunifu kwenye kazi
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa filamu pamoja na muziki, Baby Madaha, amesema sanaa ya sasa inatakiwa kuwa na ubunifu, ili kuweza kufikia katika kiwango cha juu.
Akizungumza na MTANZANIA, Madaha alisema asilimia kubwa ya wasanii wanakuwa hawana ubunifu katika sanaa, kitu ambacho kinawafanya washindwe kufanya vizuri.
“Mashabiki wetu wameendelea sana na wanajua kitu bora na magumashi. Hivyo kwa sasa tunatakiwa tuendeleze ubunifu ili kuweza kuwagusa mashabiki wetu na hata kuwafikia...
9 years ago
Bongo517 Oct
Nisha kujitupa zaidi kwenye ubunifu wa mavazi
10 years ago
GPLSEKTA YA UMMA YAOMBWA KUIMALISHA UBUNIFU KWENYE SAYANSI HAI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10