Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi wa kwanza wa kielektroniki Namibia

Wananchi nchini Namibia wanashiriki uchaguzi wa kitaifa ambao unasemekana kuwa wa kwanza wa kielektroniki barani Afrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kidato cha kwanza 2014 kudahiliwa kielektroniki

 Profesa Eustella BhalalusesaWIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,kuanzia mwaka huu imeanza kutumia mfumo wa kielektroniki kwa wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza.

 

10 years ago

Dewji Blog

Benki ya I&M yazindua huduma ya kwanza ya mfumo wa Kielektroniki ya masaa 24 jijini Dar

1

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha  (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi  na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking Solutions Ltd ambapo mteja anaweza kuweka na kutoa pesa  sambamba na kupata huduma nyingine za kibenki kama kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mashine za kielektroniki masaa 24 ya siku.Hafla hiyo ilifanyika Viva Tower-Posta jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja wa I&M wa tawi hilo Bi. Shabina...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA I&M YAZINDUA HUDUMA YA KWANZA YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI YA MASAA 24 KATIKA JENGO LA VIVA TOWERS, JIJINI DAR

Mkurugenzi Mkuu wa VIVA Tower Viral Manek, akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa tawi jipya la Benki ya I&M katika jengo hilo litakalotoa huduma masaa 24, kwa kuweka na kutoa fedha na kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mfumo mpya wa mashine za kieletroniki (ATMs). Kushoto ni mkurugenzi mkuu wa benki hiyo, Bw. Anurag Doreha, Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha (katikati) akifafanua jambo baada ya uzinduzi wa tawi jipya la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Namibia mfano wa kuigwa Afrika

Chama cha Ukombozi wa Namibia SWAPO, kimeshinda kwa zaidi ya asilimia 86 ya kura za uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo

 

10 years ago

Michuzi

BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' APOTEZA MCHEZO WA KWANZA NAMIBIA

BONDIA IBRAHIMU CLASS "King Class Mawe" mwenye rekodi namba moja nchini Tanzania na ni namba 216 kwa Dunia  amepoteza mpambano wake wa kwanza nchini Namibia kwa kupigwa kwa pointi na bondia Julius Indongo mwenye rekodi ya Namibia namba moja na Duniani ni namba 76 kwa ubora
mpambano huo uliofanyika machi 20,mwaka huu katika ukumbi wa Windhoek Country Club Resort,Windhoek, Namibia.
Mpambano huo ulianza kwa kasi ya ajabu ambapo bondia Class alimkalisha chini Indongo na kuhesabiwa na mpambano...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan:Uchaguzi wa kwanza tangu kujitenga

Wapiga kura milioni 13 wanajiandaa kwa uchaguzi mkuu Sudan kuamua nani kati ya wagombea 15 wa urais akiwemo rais Omar el Bashir atawangoza

 

9 years ago

BBCSwahili

Myanmar: Uchaguzi wa kwanza katika miaka 25

Uchaguzi huu ndio unaotarajiwa kutamatisha utawala wa kijeshi uluodumu kwa nusu karne.

 

9 years ago

Mwananchi

Taifa Kwanza: Kuna maisha baada ya uchaguzi

Bila shaka leo ni siku mojawapo ya  muhimu sana katika historia ya kisiasa kwa siku za karibuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani