Uchaguzi Zanzibar upo-Balozi Seif
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imewatoa hofu wananchi na kusema uchaguzi wa marudio upo kwa sababu ule wa Oktoba 25 mwaka 2015 ulifutwa matokeo yake na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ambayo ndiyo taasisi halali inayoratibu kazi za uchaguzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia aagana na balozi iddi seif zanzibar
.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif asimamisha ujenzi wa nyumba ya ghorofa mjini Unguja, Zanzibar

Balozi Seif akipokea malalamiko ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakimshutumu Mmiliki wa Kiwanja cha jengo la Ghorofa Bwana Anuari Abdulla anayejenga pamoja na eneo la wazi.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja cha nyumba ya Ghorofa kinacholalamikiwa na Wakaazi wa Mtaa huo kwamba kimevamia pia eneo la wazi linalotumika kwa shughuli za Kijamii.



Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja...
10 years ago
Michuzi
UCHAGUZI UFANYIKE KWA MISINGI YA HAKI NA USAWA- BALOZI SEIF

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba kauli za baadhi ya wanasiasa wakati wanapokuwa majukwaani za kupalilia cheche za kutaka kuibua vurugu zisiwashitue Wananchi kwa vile Serikali itaendelea kuwa makini...
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN, WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANIUSALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi Seif Iddi afanya ziara Bandari ya Malindi,Zanzibar
.jpg)
.jpg)
10 years ago
GPL
BALOZI SEIF IDDI AFANYA ZIARA BANDARI YA MALINDI, ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi
Balozi Seif Idd azungumza na Viongozi wa Mkoa wa Magharibi, Zanzibar



5 years ago
Michuzi
Zanzibar kufanya marekebisho ya sheria ya dawa za kulevya - Balozi Seif
Alisema hatua mbali mbali za kupambana, kukemea pamoja na kuchukia shughuli zote zinazoshajiisha matumizi ya Dawa za Kulevya zitapaswa kuchukuliwa kutokana na janga hili linaloikumba Dunia kwa kuathiri nguvu...
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Balozi Seif Iddi awatoa hofu madaktari wa Cuba, Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Kiongozi wa Madaktari wa Cuba Profesa Ulpiano Nyumbani kwake Vuga Mjini Zanzibar baada ya kuvamiwa na majambazi jana usiku yeye na wenzake maeneo kati ya Kikwajuni na SUZA.
Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi Msaidizi Kamishna wa Polisi { ACP } Mkadam Khamis Mkadam alisema Jeshi la Polisi Mkoa huo linawashikilia watu wawili miongoni mwa majambazi wanaotuhumiwa kuhusika na uvamizi wa Madaktari Bingwa wa Cuba katika...