Uchambuzi wa habari za magazetini leo Jumatatu 30 December 2015.

Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETINI OKTOBA 27,2015
Magufuli azidi kungara katika matokeo ya awali katika majimbo 13. Mawaziri waanguka majimboni. Yote haya utayapata katika magazeti; Mzee ‘sawasawa’ ajitangaza mshindi Zanzibar, Polisi yakamata 169 kwa kuingilia tume. Pata dondoo za habari za magazetini; https://youtu.be/mGoDo1XC_Ts
Polisi wazima vurugu Zanzibar. Aeleza sababu ya matokeo jimbo la Ukonga kuchelewa. Pata undani wa habari hizi katika magazeti; https://youtu.be/3jfyH1rEnjQ
Ulinzi waimarishwa Zanzibar, wasimamizi wa uchaguzi...
Polisi wazima vurugu Zanzibar. Aeleza sababu ya matokeo jimbo la Ukonga kuchelewa. Pata undani wa habari hizi katika magazeti; https://youtu.be/3jfyH1rEnjQ
Ulinzi waimarishwa Zanzibar, wasimamizi wa uchaguzi...
10 years ago
Michuzi21 Oct
UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETINI OKTOBA 21,2015
Majimbo kumi ya kufa au kupona kati ya CCM na CHADEMA. Masha akamatwa tena.Yote haya utayapata katika magazeti ya leo; https://youtu.be/he5sNUP8L1A Magufuli kutikisa Dar kwa siku tatu. NEC yasema kukusanyika mita 200 ni hujuma na kwamba kutazua hofu kwa wapiga kura; https://youtu.be/1cf2IYpQLjU
Mchungaji afungwa kifungo cha maisha kwa kumbaka mwanae. Wataalam wasema ni vigumu chopa kulipuka ; https://youtu.be/XPE-WhIy80E
Simba ,Yanga vitani leo, Kiiza mchezaji bora September. MO yaitaka...
Mchungaji afungwa kifungo cha maisha kwa kumbaka mwanae. Wataalam wasema ni vigumu chopa kulipuka ; https://youtu.be/XPE-WhIy80E
Simba ,Yanga vitani leo, Kiiza mchezaji bora September. MO yaitaka...
10 years ago
Michuzi
UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETINI OKTOBA 22,2015
Kesi ya mita 200 moto, Lowasa sasa atishia kushtaki jeshi la polisi ICC. GP Hamdan awaonya waoandaa vurugu. Ni katika magaazeti ya leo Octoba 22.2015;https://youtu.be/TkIYjEUaJyw Yanga acha kabisa, Chipukizi Simba kutimukia Ubelgiji, Ndemla afunguka. Nyoso atafutiwa mbadala. Kwa habari hizi na nyingezo za michezo utazipata katika udondozi wa magazeti hapa Simu.tv ; https://youtu.be/yL4C4fUOPgo Rais Kikwete asema wanaimarisha jeshi ili kulinda mipaka ya nchi, NHIF yapania makubwa. Pata habari za...
9 years ago
Michuzi
UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETINI LEO
SIMU.TV: Rais Magufuli akabidhiwa ofisi rasmi, kufutwa uchaguzi Zanzibar kaa la moto. Bunge la 11 kuanza leo kwa usajili wa wabunge; SIMU.TV: Philip Marmo, Ndungai wazidisha joto uspika, CCM yazoa viti maalum 1,021 vya udiwani, wane waimamishwa kazi halmashauri ya Hai; https://youtu.be/FxYZqMCAsGQ
SIMU.TV: Maduka ya dawa binafsi Muhimbili kufungwa, serikali kuanzisha maduka yake ndani ya hospitali zote za serikali; https://youtu.be/ZlfbjFp8bs8
SIMU.TV: Pata dondoo za habari za kina za kisiasa,...
SIMU.TV: Maduka ya dawa binafsi Muhimbili kufungwa, serikali kuanzisha maduka yake ndani ya hospitali zote za serikali; https://youtu.be/ZlfbjFp8bs8
SIMU.TV: Pata dondoo za habari za kina za kisiasa,...
9 years ago
Michuzi
SIMU TV: UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETINI LEO
SIMU.TV: Uzoefu, busara kumbeba Spika, wabunge wataja sifa nyingine, awe na ujuzi wa sheria. Makinda ang’atuka uongozi wa kisiasa; https://youtu.be/ZLbwvEA0E-A SIMU.TV: Kasi ya Magufuli noma, waziri mkuu anatakiwa kuwa na sifa ya ufuatiliaji. Uwazi wa EWURA ulivyoleta unafuu wa bei ya mafuta; https://youtu.be/ZhWl1GQz1Gk SIMU.TV: Lowassa, Maalim Seif wateta saa moja. Mtanzania atuhumiwa kuhifadhi maiti Brazil. Walimu washauriwa kufuata kasi ya rais;https://youtu.be/Y_KOeoty6BY SIMU.TV:...
9 years ago
Michuzi
SIMU TV: UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI December 30, 2015
Kampuni iliyopewa kandarasi ya kusambaza umeme katika mkoa wa Kagera imelalamikiwa kuwa baadhi ya wafanyakazi wake kujihusisha na vitendo vya Rushwa.https://youtu.be/46Yk2_Je9us
Familia 79 za walemavu wa ukoma katika kambi ya Nyabange wilayani Butiama watoa wito kwa taasisi na mashirika mbalimbali kuwasaidia kuboresha huduma za kijamii.https://youtu.be/Haig5So1Fow
Wakazi wa kijiji cha Mwambegwa kilosa Mkoani Morogoro waiomba Wizara ya ardhi kufuta mashamba pori ya wawekezaji ambayo...
Familia 79 za walemavu wa ukoma katika kambi ya Nyabange wilayani Butiama watoa wito kwa taasisi na mashirika mbalimbali kuwasaidia kuboresha huduma za kijamii.https://youtu.be/Haig5So1Fow
Wakazi wa kijiji cha Mwambegwa kilosa Mkoani Morogoro waiomba Wizara ya ardhi kufuta mashamba pori ya wawekezaji ambayo...
9 years ago
Michuzi
SIMU TV: UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI December 29, 2015.
Serikali imetoa agizo kwa wakuu wa mikoa na wilaya kuhakikisha wanafikisha taarifa za ugonjwa wa kipindupindu wizarani kwa wakati. https://youtu.be/wxauztmL6Rk
Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wameunga mkono jitihada za rais Dkt Magufuli kwa hatua anazochukua kupambana na vitendo vya ubadhirifu. https://youtu.be/bYqUW5DXtao
wakazi wa eneo la Kinondoni Jijini Dar wameanza kujenga upya mabanda ili kujihifadhi baada ya nyumba zao kubomolewa. https://youtu.be/BasLD6w7-xw Watanzania...
9 years ago
Michuzi
SIMU TV: UCHAMBUZI WA MAGAZETI LEO DECEMBER 20, 2015
STAR TV: Umafia TRA, Kachero wa serikali achinjwa, Magufuli tishio, Madiwani ukawa wakamatwa. Fuatilia uchambuzi wa magazeti ya leo.https://youtu.be/X4O1T-YsNQY
CH10: Polisi yachafuliwa, Majaliwa atoa maagizo mazito, kachero wa serikali achinjwa, umafia TRA. Fuatilia dondoo za magazeti ya leo.https://youtu.be/0yzkFYAiHFM
AZAM TV: Yanga yaua, Simba yabwanwa mbavu, Chelesea yajikwamua, Man united yapigwa, Leicester city yapaa, fuatilia habari motomoto kutoka uchambuzi wa magazeti ya...
10 years ago
Vijimambo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania