Uchumi Supermarkets closes businesses in TZ, Uganda
Uchumi Supermarkets Limited has closed its operations in Tanzania and Kenya in reorganization exercise intended to rescue it from imminent financial crisis, according to a statement circulated yesterday by its Chief Executive Officer, Dr. Julius Kipng’etich.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Mkazi wa Kinondoni awa mmliki mpya wa Uchumi Supermarkets Tanzania
Mkurugenzi Mkuu wa Uchumi SuperMarket (Afrika mashariki), Jonathan Ciano (kulia) akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik katika ufunguzi wa Tawi jipya la Uchumi lililoko Mbezi Kawe karibu na ukumbi wa Rainbow-Mbezi chini jijini Dar es Salaam.
Maduka makubwa yanayoongoza Tanzania ya “Uchumi supermarks” leo yameendesha droo ya mwisho ya kampeni yao ijulikanayo kama “Mimi Mwanahisa promosheni” iliyofanyika katika tawi lake jipya la Mbezi-Kawe.
Hafla hiyo ilishuhudiwa na...
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na Uchumi Supermarkets Tanzania Limited (USL) zatiliana saini kukuza biashara
Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wa NHC, David Shambwe akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini hati ya makubaliano kati ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na Uchumi Supermarkets Tanzania Limited (USL), leo mchana, makubaliano hayo yataziwezesha pande hizo mbili kushirikiana kibiashara ambapo USL itapewa kipaumbele kwenye kupanga katika miradi ya ujenzi ya majengo ya Shirika la Nyumba la Taifa popote nchini.
Meneja Mkuu wa Uchumi Supermarkets Tanzania, Chriss Lenana akifafanua Jambo...
9 years ago
BBC24 Nov
VIDEO: Uganda closes education gap
9 years ago
TheCitizen21 Oct
Why Uchumi exits Tanzania, Uganda
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Maduka ya Uchumi Supermarket yafungwa Tanzania, Uganda
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI07a0mvALdtJcyMVoyDVMZVuylrG9wbkRCZ1j8MFZecSCTOUirT5KNSqmuNF7myTCVqztj*-fCLUotaF27OJJ8j/uchumi2.jpg)
UCHUMI YAFUNGA MADUKA YAKE TANZANIA NA UGANDA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jBeiKcj1u2Y/Vh561LfAHMI/AAAAAAABXTs/aRws1LDfuUg/s72-c/front%2Bsegerea.jpg)
MADUKA YA UCHUMI SUPERMARKET YAFUNGWA NCHINI TANZANIA NA UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jBeiKcj1u2Y/Vh561LfAHMI/AAAAAAABXTs/aRws1LDfuUg/s640/front%2Bsegerea.jpg)
Uongozi wa Uchumi Supermarket umetangaza kufunga shughuli zake katika maduka yake yaliyopo Tanzania na Uganda ili kutoa nafasi ya kuzuia mtikisiko wa kifedha unaoikumba kampuni hiyo.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Uchumi, Dk Julius Kipng'etich, amesema Bodi imeamua kufunga vitengo vya kikanda ili kuimarisha shughuli zake nchini Kenya baada ya kupata hasara katika maduka yake ya Uganda na Tanzania."Maduka yetu ya Uganda na Tanzania huchangia asilimia 25 tu ya gharama za uendeshaji. Matawi hayo...
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Ujumbe wa Tanzania wakutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi kujadili uchumi wa Tanzania
Baadhi ya viongozi wa Wizara ya fedha wakifuatilia kwa makini mkutano uliokuwa ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, ambapo ujumbe kutoka Tanzania ulikutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Phippe Dongier hawapo kwenye picha kwa madhumuni ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu uchumi wa Tanzania. Kutoka kushoto ni Bw. John Cheyo ambaye ni Kamishna wa Bajeti, anayefuata ni Katibu...
10 years ago
Mwananchi02 Jul
UCHUMI: Tukiboresha teknolojia, tutakuza uchumi