Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchumi wa Mwakaleli waanza kufufuka upya

Uchumi wa wakazi wa Bonde la Mwakaleli, mkoani Mbeya, umeanza kufufuka baada ya wakazi wake kuanzisha kilimo cha viazi mviringo na kujishughulisha na kazi za ufugaji wa ng’ombe wa maziwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uchumi wa China waanza kushuka

Wataalam wa masuala ya uchumi wamesema kuwa China inakabiliwa na wimbi la kushuka kwa ukuaji wa uchumi wa taifa hilo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa kamati ya watalaam wa fedha, uchumi na mipango wa nchi wanachama AU na ECA waanza Addis Ababa — Ethiopia

DSC_0049

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Hamis H. Mwinyimvua (Kulia) na Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Mh.Naimi Azizi wakiwaa kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Watalaamu wa masuala ya Fedha Afrika unaofanyika Mjini Addis Ababa – Ethiopia.

DSC_4687

Baadhi ya wajumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 8 wa Watalaam wa masuala ya Fedha – Afrika wakijadili jambo wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa ‘United Conference Centre’ Addis Ababa. Kulia ni Nd.Mbayani Saruni na Kushoto ni...

 

9 years ago

GPL

MWANAMKE ADAIWA KUFUFUKA

MAAJABU ya dunia! Mama wa watoto watatu, Bahati Elias (35), mkazi wa Kata ya Ituwa jijini Mbeya anadaiwa kufufuka baada ya kufariki dunia kwa kuugua kichwa na kifua. Tukio hilo lilijiri Jumapili iliyopita katika Kanisa la Lulu Miracle Centre la jijini hapo ambako mwili wake ulipelekwa. Akizungumza na Amani kwa njia ya simu juzi, mchungaji wa kanisa hilo, Stanford Mwafulile alisimulia mkasa wa mwanamke huyo huku akisema hata yeye...

 

10 years ago

GPL

MAAJABU YA MTOTO KUFUFUKA

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
MAAJABU! Mtoto Irene Emmanuel Joseph (1) mkazi wa Kibamba-Mji Mpya jijini Dar, ameendelea kuwa gumzo kufuatia kufariki dunia Agosti, mwaka jana akiwa na miezi 9 na kudaiwa kufufuka katika mazingira ya ajabu hivi karibuni akiwa na umri wa mwaka mmoja na miezi minne, Uwazi linakuletea. ...

 

5 years ago

BBCSwahili

"Maisha yake ni sawasawa na mtu aliyekufa na kufufuka" kulingana na mama yake

Simulizi ya mtoto mwenye ugonjwa adimu duniani ambaye siku ngingi anajipata kuwa hspitali zaidi ya nyumbani tena chumba cha wagonjw amahutui (ICU)

 

10 years ago

Mwananchi

UCHUMI: Tukiboresha teknolojia, tutakuza uchumi

>Maendeleo ya uchumi na jamii ni mchakato wa ukuaji wa kasi wa pato la taifa na mabadiliko ya mfumo wa uchumi kutoka kutegemea kilimo, ufugaji na uvunaji wa mali ya asili na kuelekea kutegemea viwanda na huduma za kisasa. Nchi maskini zinategemea sana sekta za msingi hususan kilimo, ufugaji na uvuvi.

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO

Mwenyekiti wa Kamati ya Watalaam wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa AU na EAC Dkt. Hamisi Mwinyimvua ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha,Uchumi,Mipango na Ushirikiano wa Kikanda unaoendelea Mjini AddisAbaba –Ethiopia. Mwenyekiti wa Mkutano wa Mawaziri wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na kamisheni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani