UDA wagoma!
Na Mwandishi wetu
MADEREVA wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), wanaofanya safari kati ya Mnazimmoja na Kivukoni jana waligoma kufanya kazi wakipinga agizo la uongozi kuwataka wapeleke hesabu ya sh 300,000 kwa siku.
Kutokana na mgomo huo abiria wanaosafiri katika njia hiyo, walipata usumbufu hadi pale ufumbuzi wa mgogoro huo ulipopatikana majira ya saa moja asubuhi.
Akizungumza niaba ya madereva na makondakta jijini Dar es Salaam, mmoja wa madereva, ambaye hakupenda jina lake...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Oct
Madereva UDA wagoma
MGOMO uliokuwa umeanza leo wa madereva wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) umezimwa baada ya uongozi wa shirika hilo kukubali kushughulikia malalamiko ya madereva hao.
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
UDA wagoma kwa muda
MADEREVA wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), wanaofanya safari kati ya Mnazi mmoja na Kivukoni jana waligoma kwa muda wakipinga agizo la uongozi la kuwataka wapeleke hesabu ya...
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Madereva UDA wagoma tena
BAADHI ya madereva wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), jana waligoma kufanya kazi kwa muda wakipinga agizo la kupeleka hesabu ya sh. 205,000 wakidai kuwa haziwezi kupatikana kutokana...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Madereva mabasi ya Uda wagoma
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq27a2BqoRjXNYm*7TLMlbrcrxhZBWBX7CE-QTXrr9XZMIbX6Gp5sUPkS8lUZfIdDya9itwlQxumGr6I0uVrYKTo/IMG_20141020_063403.jpg?width=650)
MADEREVA WA MABASI YA UDA WAGOMA KUINGIA KAZINI!
11 years ago
Habarileo05 Jun
Mgogoro UDA
SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA), limeingia katika mgogoro na Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), kwa ukiukwaji wa masharti ya leseni.
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
UKAWA wagoma
SIKU moja baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha Katiba inayopendekezwa, Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umegoma kutambua matokeo ya kura zilizopigwa kupitisha Katiba hiyo. UKAWA ambao unaundwa na...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Daladala wagoma
WANANCHI jijini Mwanza jana walikumbana na adha ya usafiri baada ya madereva wa daladala kugoma bila taarifa kwa madai kuwa wamekuwa wakisababishiwa kero ya faini ya Polisi wa Usalama Barabarani pamoja na kupinga kituo kipya cha daladala kilichopo eneo la Buzuruga.
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Wawekezaji wa UDA: Tunahujumiwa