UKAWA wagoma
SIKU moja baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha Katiba inayopendekezwa, Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umegoma kutambua matokeo ya kura zilizopigwa kupitisha Katiba hiyo. UKAWA ambao unaundwa na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii11 Jun
BUNGE LA KATIBA: UKAWA WAGOMA KURUDI BUNGENI
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
UDA wagoma!
Na Mwandishi wetu
MADEREVA wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), wanaofanya safari kati ya Mnazimmoja na Kivukoni jana waligoma kufanya kazi wakipinga agizo la uongozi kuwataka wapeleke hesabu ya sh 300,000 kwa siku.
Kutokana na mgomo huo abiria wanaosafiri katika njia hiyo, walipata usumbufu hadi pale ufumbuzi wa mgogoro huo ulipopatikana majira ya saa moja asubuhi.
Akizungumza niaba ya madereva na makondakta jijini Dar es Salaam, mmoja wa madereva, ambaye hakupenda jina lake...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Daladala wagoma
WANANCHI jijini Mwanza jana walikumbana na adha ya usafiri baada ya madereva wa daladala kugoma bila taarifa kwa madai kuwa wamekuwa wakisababishiwa kero ya faini ya Polisi wa Usalama Barabarani pamoja na kupinga kituo kipya cha daladala kilichopo eneo la Buzuruga.
11 years ago
Habarileo17 Jun
Wahadhiri Udom wagoma
WAHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wamegoma kusimamia mitihani wakishinikiza malipo ya posho za usimamizi wanazodai tangu muhula wa masomo uliopita. Mgomo wa wanataaluma hao wa Shule ya Sayansi ya Jamii katika chuo hicho, umeathiri wanafunzi zaidi ya 2,000 waliokuwa wafanye mtihani jana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND1R9rWJ-cWL-UosP1xrOJckhwtocnHY9RAS5WhZ-Ue2rW5KrwL0-P19MUjQPnf9GnsEOjdREmy-jsMXEMMPQuNG/5MGOMO7.jpg)
WANACHUO NIT WAGOMA
11 years ago
Habarileo14 May
Wafanyakazi TAZARA wagoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamegoma kufanya kazi kwa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu.
10 years ago
Habarileo20 Oct
Madereva UDA wagoma
MGOMO uliokuwa umeanza leo wa madereva wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) umezimwa baada ya uongozi wa shirika hilo kukubali kushughulikia malalamiko ya madereva hao.
11 years ago
Habarileo30 Jun
Madereva wa mabasi wagoma
ABIRIA waliokuwa wanasafiri kwa mabasi kutoka Kanda ya Ziwa kuelekea mikoa ya Pwani na Kaskazini, juzi walijikuta wakilazimika kuchelewa kufika mjini Singida kwa zaidi ya saa tatu kutokana na mgomo wa madereva wao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v3DYtXKaFNqRYeXMviWMp60BG7aU0jJE5q79G3VJrsh9NDFoEkkoMH8gSyt5ePPN9Ufvqb7zraaKQ5o-P5IAwpacef1DAKqi/MGOMO.jpg)
WAFANYABIASHARA MUSOMA WAGOMA