Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UDA yaahidi msaada zaidi kwa jeshi la Polisi

 Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw. Tumaini Magila (kushoto) akimkabidhi gari namba PT 0828 Toyota Land Cruiser, ASP Charles Hamza (katikati) aliyepokea gari hilo kwa niaba ya Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Pwani, ACP Japhari Mohamed baada ya kazi ya ukarabati wa gari hilo kukamilika.  Tukio hilo lilifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.  Kulia ni dreva, G. 6633 PC Pendael.
Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamKAMPUNI ya Usafiri Dar es Salaam (UDA)...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Ridhiwani Kikwete atoa msaada kwa Jeshi la Polisi Chalinze

1A

Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akizungumza na uongozi wa polisi Mkoa wa Pwani na Wilaya ya Kipolisi ya Chalinze pamoja na wananchi waliojitokeza katika hafla ya makabidhiano ya vifaa mbalimbali kwa jeshi hilo zikiwemo kompyuta, mifuko ya Saruji pamoja na fedha vilivyotolewa na mbunge huyo, Kwa ajili ya kutatua matatizo mbalimbali yanayolikabili jeshi la polisi katika utekelezaji wa majukumu yake ya ulizni na usalama wa raia na mali zao. Pamoja na kukabidhi kompyuta hizo...

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.

MNAMO TAREHE 14.08.2015 MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHADEMA ALIKUJA MKOA WA MBEYA AKIWA AMEANDAMANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA CUF, NCCR – Mageuzi NA NLD KWA DHUMUNI LA KUMTAMBULISHA NA KUOMBA UDHAMINI WA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA KWA NAFASI YA URAIS.


KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tume ya Uchaguzi NEC yakabidhi majina ya waliojiandikisha zaidi ya mara moja kwenye BVR kwa Jeshi la Polisi

1.

Mkuu wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Sisti Cariah (katikati) akiwaonyesha waandishi wa habari utaratibu wa uhifadhi wa fomu za taarifa za wananchi waliojiandisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, jana Alhamisi (Agosti 27, 2015)Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey.

2.

Afisa TEHAMA katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Adolf Kinyelo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NMB yaahidi semina zaidi kwa wajasiriamali

BENKI ya NMB imesema itaendelea kuendesha semina ya mikopo kwa wajasiriamali ili kuwajengea uwezo wa elimu ya kuziendeleza biashara zao. Hayo yalisemwa na mkuu wa kitengo cha mikopo kwa wajasiriamali...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ufaransa yaahidi misaada zaidi kwa Tanzania

AFD ni Taasisi ya kifedha ya Ufaransa na ndiye mtekelezaji Mkuu wa misaada ya kimaendeleo ya nchi hiyo kwa nchi zinazoendelea na zile zenye ngome ya Ufaransa zilizopo katika nchi nyingine duniani kote.

Taasisi hii inatoa fedha kwa miradi ya maendeleo katika zaidi ya nchi 90 zikiwemo nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mwandishi wa makala hii alifanya mahojiano na Mkurugenzi wa taasisi ya AFD kwa nchi za Afrika Mashariki, Yves Boudot kama ifuatavyo.

Raia Tanzania: Kwa faida ya...

 

11 years ago

Michuzi

UDA yatoa msaada wa shilingi milioni 15 kwa kanisa la Mt. Rita

   Mkurugenzi Mtendaji wa Shirila la Usafiri (UDA) Bw. Simon Bulenganija (kushoto) akisisitiza jambo kwa Paroko Msaidizi wa Kigango cha Kanisa la Mavurunza, Padri Xavery Kassase kabla ya kukabidhi hundi ya shilingi milioni 15 kwa Kigango cha Kanisa la Mtakatifu Rita kusaidia mradi wa ujenzi wa nyumba ya mapadri wakati wa harambee iliyofanyika kanisani hapo hivi karibuni.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Shirila la Usafiri (UDA) Bw. Simon Bulenganija (kushoto) akikabidhi hundi yenye thamani ya...

 

5 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA JESHI LA POLISI, CP SABAS APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 10 KUTOKA KAMPUNI YA KINGLION



Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas, akisalimiana  na mwakilishi wa Kampuni ya utengenezaji wa pikipiki aina ya Kinglion baada ya kuwasili Makao Makuu ya Polisi Jijini Dar Es Salaam walizozitoa kwaajili yakusaidia shughuli mbalimbali za Jeshi la Polisi ikiwemo Doria.Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani