Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


udereva uliotukuka


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MCHONGO WA KAZI YA UDEREVA DMV

HIRING CLASS A DRIVER FOR OVER THE ROAD WORK, 
MUST HAVE AT LEAST 2 YEARS CLASS A EXPERIENCE
READY TO BE OUT ON THE ROAD 2 WEEKS MINIMUM
CLEAN DOT,MVA AND BACKGROUND ...
CALL DAN 646 -961 -8010 OR EMAIL DWASIRA@GMAIL.COM

 

11 years ago

Mwananchi

Ni utumishi uliotukuka wa Kardinali Pengo

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ameadhimisha miaka 30 ya uaskofu, 43 ya upadri na miaka 16 ya ukardinali.

 

11 years ago

Michuzi

ubunifu uliotukuka mkoani iringa

Kenny Mwangoka akiendesha gari hilo ambalo bodi lake limetengenezwa kwa mbao
Kenny Mwangoka akifungua mlango wa nyuma wa gari hilo akionesha umadhubuti wa bori lake
Mwanahabari huyu Oliva Motto wa Star TV hakuamini kama kilichounda bodi ya gari hilo ni mbao mpaka alipogusa na kujiridhisha
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Peter Tweve akimpongeza Mwangoka kwa ubinifu huo
Na Francis Godwin, Iringa
Amini usiamin. Bodi la gari hili aina ya Hiace lenye namba za...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mzaha uliotukuka wagombea 14 urais

Na Jabir Idrissa NITAMHESHIMU vilivyo Mwajuma Ali Khamis, mwanamke pekee aliyeingia kuwania wadhifa wa urais Zanzibar, lakini akakiri ufukara umemuangusha. Bi Mwajuma, ambaye sijajua ametokea wapi, amekua vipi, aliingia lini katika siasa mpaka kuthubutu kugombea, nitamheshimu […]

The post Mzaha uliotukuka wagombea 14 urais appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

Bodaboda 400 wapewa mafunzo ya udereva

Babati. Waendesha bodaboda 425 wa Kata ya Endakiso wilayani Babati Mkoa wa Manyara wamekabidhiwa leseni na vyeti vya kuhitimu mafunzo ya udereva katika Taasisi ya Ant Poverty Enviromental Care (APEC).

 

11 years ago

Mwananchi

‘Udereva wa mabasi, malori uwe taaluma’

>Chama cha Wamiliki wa Mabasi ya Abiria Tanzania (Taboa), kimesema kama udereva wa mabasi na malori hautafanywa ni taaluma, maisha ya abiria yataendelea kuwekwa rehani.

 

5 years ago

Michuzi

Viongozi wa Dini Wampongeza JPM kwa Ungozi Uliotukuka

Na. Immaculate Makilika- MAELEZO

Viongozi wa dini jijini Dodoma wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa uongozi wake uliotukuka.

Akizungumza leo jijini Dodoma, Askofu wa Kanisa la EAGT Ipagala jijini humo, Evance Chande alisema kuwa Rais John Pombe Magufuli ni kiongozi mwenye uthubuti, mwenye kufanya maamuzi magumu ambayo yamesaidia katika utekelezaji na usimamizi wa miradi mbalimbali kama vile ujenzi wa reli ya kisasa, ujenzi wa bwawa la kufua...

 

9 years ago

Michuzi

TANO ZA MAGUFULI . UADILIFU .UCHAPAKAZI .UFUATILIAJI .UTEKELEZAJI NA UTUMISHI ULIOTUKUKA

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.

Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani