‘Udereva wa mabasi, malori uwe taaluma’
>Chama cha Wamiliki wa Mabasi ya Abiria Tanzania (Taboa), kimesema kama udereva wa mabasi na malori hautafanywa ni taaluma, maisha ya abiria yataendelea kuwekwa rehani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Apr
Madereva mabasi,malori watishia kugoma
MADEREVA wa malori na mabasi yanayofanya safari za ndani na nje ya nchi, wametishia kugoma kufanya kazi kuanzia Ijumaa ijayo, ikielezwa ni kutaka kuishinikiza serikali kutatua changamoto zinazowakabili katika utoaji wa huduma za usafiri nchini.
10 years ago
Mwananchi05 May
Madereva mabasi, malori wagoma sehemu kubwa ya Tanzania
Nchi imesimama. Hii ndiyo sentensi inayofaa kuelezea tukio la jana la mgomo wa madereva nchini kote ambao kwa mara ya kwanza ulisababisha mabasi yote kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani na nchi jirani kushindwa kuondoka.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6OpekgTEGXQ/VRvHRvGdRyI/AAAAAAAHOvI/UyBkPP37BAY/s72-c/IMG_9452.jpg)
MADEREVA WA DALADALA,MALORI, MABASI YA MIKOANI WATAKIWA KURUDI DARASANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-6OpekgTEGXQ/VRvHRvGdRyI/AAAAAAAHOvI/UyBkPP37BAY/s1600/IMG_9452.jpg)
KIKOSI cha polisi usalama barabarani kimewataka madereva wa mabasi ,magari makubwa pamoja na daladala kwenda kusoma ili kuongeza ujuzi wa kazi zao kutokana na kuwepo kwa teknolojia za kisasa katika magari hayo.
Hayo ameyasema,Ofisa Mnadhimu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Johansen Kahatano wakati wa semina ya kuwajengea uwezo madereva katika kukabiliana na ajali za barabarani iliyofanyika jana katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Alisema...
11 years ago
Michuzi04 Apr
10 years ago
Vijimambo25 Sep
MCHONGO WA KAZI YA UDEREVA DMV
![](http://www.just4wheels.com/images/classes/atruck24.jpg)
MUST HAVE AT LEAST 2 YEARS CLASS A EXPERIENCE
READY TO BE OUT ON THE ROAD 2 WEEKS MINIMUM
CLEAN DOT,MVA AND BACKGROUND ...
CALL DAN 646 -961 -8010 OR EMAIL DWASIRA@GMAIL.COM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bLmWw7ypEwQ/VMkZEXA3fkI/AAAAAAAG__U/4wMaej0v1n4/s72-c/DSCF2098.jpg)
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Bodaboda 400 wapewa mafunzo ya udereva
Babati. Waendesha bodaboda 425 wa Kata ya Endakiso wilayani Babati Mkoa wa Manyara wamekabidhiwa leseni na vyeti vya kuhitimu mafunzo ya udereva katika Taasisi ya Ant Poverty Enviromental Care (APEC).
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yJAGhtU4gAs/Vf6bOiCejDI/AAAAAAAH6Rk/QXlbDbF8TM8/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam
TATIZO la usafiri katika jiji la Dar es Salaam linatarajia kupungua kufuatia kuanza kupindi cha mpito cha mabasi Yaendayo Haraka (BRT) mwezi ujao kufuatia kuwasili kwa mabasi 138 katika Bandari ya Dar es Salaam kutoa China tayari kwa huduma ya usafiri. Mkuu wa Mkowa Dar es Salaam, Bw. Saidi Meck Sadiki aliwaambia waandishi wa habari jana wakati alipofanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam kujionea kuwasili kwa mabasi hayo, kuwa wakazi wa Dar es Salaama kwa sasa wataanza kutumia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania