Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Udhalilishaji kingono wadaiwa kushamiri shuleni

ZAIDI ya asilimia 80 ya vijana nchini wenye umri kati ya miaka 13 hadi 24 wameripotiwa kunyanyaswa kingono, kudhalilishwa kihisia na kujeruhiwa walipokuwa watoto chini ya umri wa miaka 18 huku matukio hayo yakishamiri zaidi sehemu za shule na kuathiri uwezo wa watoto kielimu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Watoto wadaiwa kuibwa shuleni

Uvumi wa watu wasiofahamika waliokuwamo ndani ya gari aina ya Noah lenye rangi nyeusi, kwamba wameiba watoto wapatao kumi kutoka Shule za Msingi Mtambani na Boko, Kinondoni Dar es Salaam zimevuruga utaratibu wa masomo, maisha ya wazazi na utendaji kazi wa walimu kwenye shule hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Majangili kushamiri ni uzembe wa Serikali

Kwa zaidi ya wiki moja iliyopita kulikuwa na maandamano yaliyoongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii na wadau wa utalii na mazingira nchini. Maandamano hayo yalipinga kuendelea kwa vitendo vya ujangili hasa yale yanayohusisha mauaji ya kutafuta meno ya tembo katika mapori yetu. Mimi niliyaunga mkono ila lawama zangu ni kwa Serikali, na siyo majangili tu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Ubadhirifu kikwazo cha Ushirika kushamiri

IMG_6069

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida na Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, (Ushauri na Miradi), Amon Manyama wakipitia makabrasha ya mafunzo ya siku moja juu ya Uimarishaji  wa Ushirika wa Akiba na Mikopo kwa Viongozi wa Vyama vya Ushirika (SACCOS na VICOBA) na Maafisa Ushirika wa  kutoka Wilaya za Bunda, Bukoba na Sengerema yaliyoandaliwa na ESRF na kufadhiliwa na Shirika la Maendeleo (UNDP)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ikulu inahusika kushamiri dawa za kulevya

BARAZA la Vijana wa CHADEMA (Bavicha) limemtaka Rais Jakaya Kikwete kuacha kulalamika kuhusu dawa za kulevya zinazopitishwa kwenye viwanja vya ndege kwa kuwa ameshindwa kushughulikia majina ya wafanyabiashara hiyo aliyowahi...

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA WANAOVUTA GUNDI WAZIDI KUSHAMIRI DODOMA, WANANCHI WAFUNGUKA


Charles James, Michuzi Globu

PAMOJA na Jiji la Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi lakini bado idadi ya vijana wanaotumia dawa za kulevya aina ya gundi imezidi kuwa tatizo kwa wananchi wa jiji hilo.

Vijana hao wamekua wakishinda na kuzagaa katikati ya Jiji maeneo ya viwanja vya Nyerere ambapo wamekua wakicheza kamari, kusumbua wananchi wanaopita, wanafunzi na zaidi wakivuta gundi hadharani.

Globu ya Jamii imefanya uchunguzi wake na kugundua kuwa umri wa vijana hao ni kuanzia miaka tisa hadi 21 na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Unyanyasaji wa Kingono marufuku:UN

Ripoti ya umoja wa mataifa inasema askari waliopo katika maeneo ya kulinda amani watakaojihusisha na vitendo vya unyanyasaji wa kingono watachukuliwa hatua ikiwa ni pamoja na kuwaondoa katika maeneo hayo

 

10 years ago

Vijimambo

WAGONJWA WANYANYASWA KINGONO UK


Wagonjwa wadaiwa kunyanyaswa kingono katika hospitali za Uingereza.
Mlipuko wa kisiri wa unyanyasaji wa kingono katika hospitali za Uingereza umegunduliwa huku takwimu mpya zikionyesha zaidi ya mashambulizi 1600 yaliripotiwa kwa polisi katika kipindi cha miaka mitatu iliopita.
Kumbukumbu zilizopatikana na gazeti la The Guardian chini ya sheria ya uhuru wa habari zinaonyesha ongezeko la asilimia 50 ya ripoti za unyanyasaji wa kingono kwa kutumia nguvu katika hospitali tangu mwaka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wagonjwa wanyanyaswa kingono UK

Mlipuko wa kisiri wa unyanyasaji wa kingono katika hospitali za Uingereza umegunduliwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mke amkimbia mume kingono

Palikuwa na kituko cha mwaka kilichotukia katika kituo cha polisi bulenga, wakati mwanamke mmoja alipokuwa akiomba poo kwa mumewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani