Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uefa 16 borakuendelea leo

trophyMANCHESTER, ENGLAND

MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo kwa baadhi ya michezo kwa kuzitafuta timu ambazo zitaingia hatua ya 16 bora.

Kuna klabu ambazo tayari zimetangulia katika hatua hiyo kama vile Real Madrid, Barcelona, PSG, Juventus, Man City, Bayern Munich na Zenit.

Kivumbi ni leo kwa Klabu ya Manchester United ambayo itashuka dimbani dhidi ya Wolfsburg katika kundi B, huku kila timu ikihitaji ushindi ili kujihakikishia inaingia 16 bora.

Wolfsburg...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Michuano ya UEFA hapatoshi leo

Kivumbi cha michuano ya Kombe la UEFA, Chelsea na PSG na Borrusia Dortmund dhidi ya Real Madrid

 

9 years ago

BBCSwahili

Uefa:ligi kuendelea leo

Michezo ya pili ya michuano ya klabu bingwa itaendelea tena kushika kasi leo usiku kwa michezo nane kuchezwa

 

9 years ago

Mtanzania

Michuano ya Uefa kuendelea leo

Germany Soccer Champions League FinalLONDON, ENGLAND

MICHEZO ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali, ambapo michezo nane itapigwa.

Katika kundi E, Barcelona watakuwa kwenye Uwanja wa nyumbani Camp Nou na kuwakaribisha wapinzani wao, Bayern Leverkusen, kutoka nchini Ujerumani, mchezo ambao unaonekana kuwa na mvuto wa aina yake.

Katika mchezo wa kwanza wa michuano hii Barcelona ilikutana na AS Roma na matokeo yakawa 1-1, hata hivyo, katika mchezo wa leo Barcelona...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea Paris St Germany dimbani leo UEFA

Chelsea itashuka katika dimba lake la Stamford Bridge kuwakaribisha Paris St Germany katika mchezo wa klabu bigwa ulaya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uefa:Klabu bingwa ulaya kuendelea leo

Ligi ya mabingwa ulaya itaendelea kutimua vumbi leo kwa michezo nane kuchezwa katika viwanja tofauti

 

10 years ago

BBCSwahili

Kivumbi leo UEFA, Bayern,PSG kufa kupona

Mzunguko wa pili hatua ya robo fainali ligi ya mabingwa barani Ulaya kutimua vumbi Jumanne usiku

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA na ratiba ya leo

Champions-League

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea jana kwa michezo nane (8) iliyopigwa katika viwanja nane tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Real Madrid 1 – 0 Paris Saint-German  

Shakhtar Donetsk 4 – 0 Malmo  

GROUP B;

Manchester United 1 – 0 CSKA Moscow

PSV Eindhoven 2 – 0 Wolfsburg     

GROUP C;

FC Astana 0 – 0 Atletico Madrid  

Benfica 2 – 1 Galatasaray   

GROUP D;

Borussia Moenchengladbach 1 – 1 Juventus 

Sevilla 1 – 3 Manchester City 

Ratiba ya michezo ya Ligi ya Mabingwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA

uefa_champions_league-wallpaper-1440x1080

GROUP: E

BATE Borisov – Bayer Leverkusen   20:00 EAT

Barcelona – Roma  22:45 EAT

GROUP: F

Arsenal – Dinamo Zagreb  22:45 EAT

Bayern Munich – Olympiakos  22:45 EAT

GROUP: G

Porto – Dynamo Kyiv  22:45 EAT

Maccabi Tel Aviv – Chelsea  22:45 EAT

GROUP: H

Zenit St. Petersburg – Valencia  20:00 EAT

Lyon – Gent  22:45 EAT

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani