Uefa 16 borakuendelea leo
MANCHESTER, ENGLAND
MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo kwa baadhi ya michezo kwa kuzitafuta timu ambazo zitaingia hatua ya 16 bora.
Kuna klabu ambazo tayari zimetangulia katika hatua hiyo kama vile Real Madrid, Barcelona, PSG, Juventus, Man City, Bayern Munich na Zenit.
Kivumbi ni leo kwa Klabu ya Manchester United ambayo itashuka dimbani dhidi ya Wolfsburg katika kundi B, huku kila timu ikihitaji ushindi ili kujihakikishia inaingia 16 bora.
Wolfsburg...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Michuano ya UEFA hapatoshi leo
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Uefa:ligi kuendelea leo
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Michuano ya Uefa kuendelea leo
LONDON, ENGLAND
MICHEZO ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali, ambapo michezo nane itapigwa.
Katika kundi E, Barcelona watakuwa kwenye Uwanja wa nyumbani Camp Nou na kuwakaribisha wapinzani wao, Bayern Leverkusen, kutoka nchini Ujerumani, mchezo ambao unaonekana kuwa na mvuto wa aina yake.
Katika mchezo wa kwanza wa michuano hii Barcelona ilikutana na AS Roma na matokeo yakawa 1-1, hata hivyo, katika mchezo wa leo Barcelona...
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Chelsea Paris St Germany dimbani leo UEFA
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Uefa:Klabu bingwa ulaya kuendelea leo
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Kivumbi leo UEFA, Bayern,PSG kufa kupona
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA na ratiba ya leo
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea jana kwa michezo nane (8) iliyopigwa katika viwanja nane tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;
GROUP A;
Real Madrid 1 – 0 Paris Saint-German
Shakhtar Donetsk 4 – 0 Malmo
GROUP B;
Manchester United 1 – 0 CSKA Moscow
PSV Eindhoven 2 – 0 Wolfsburg
GROUP C;
FC Astana 0 – 0 Atletico Madrid
Benfica 2 – 1 Galatasaray
GROUP D;
Borussia Moenchengladbach 1 – 1 Juventus
Sevilla 1 – 3 Manchester City
Ratiba ya michezo ya Ligi ya Mabingwa...
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA
GROUP: E
BATE Borisov – Bayer Leverkusen 20:00 EAT
Barcelona – Roma 22:45 EAT
GROUP: F
Arsenal – Dinamo Zagreb 22:45 EAT
Bayern Munich – Olympiakos 22:45 EAT
GROUP: G
Porto – Dynamo Kyiv 22:45 EAT
Maccabi Tel Aviv – Chelsea 22:45 EAT
GROUP: H
Zenit St. Petersburg – Valencia 20:00 EAT
Lyon – Gent 22:45 EAT