Uefa:ligi kuendelea leo
Michezo ya pili ya michuano ya klabu bingwa itaendelea tena kushika kasi leo usiku kwa michezo nane kuchezwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
UEFA Champion Ligi kuendelea tena.
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Michuano ya Uefa kuendelea leo
LONDON, ENGLAND
MICHEZO ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali, ambapo michezo nane itapigwa.
Katika kundi E, Barcelona watakuwa kwenye Uwanja wa nyumbani Camp Nou na kuwakaribisha wapinzani wao, Bayern Leverkusen, kutoka nchini Ujerumani, mchezo ambao unaonekana kuwa na mvuto wa aina yake.
Katika mchezo wa kwanza wa michuano hii Barcelona ilikutana na AS Roma na matokeo yakawa 1-1, hata hivyo, katika mchezo wa leo Barcelona...
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Uefa:Klabu bingwa ulaya kuendelea leo
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA na ratiba ya leo
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea jana kwa michezo nane (8) iliyopigwa katika viwanja nane tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;
GROUP A;
Real Madrid 1 – 0 Paris Saint-German
Shakhtar Donetsk 4 – 0 Malmo
GROUP B;
Manchester United 1 – 0 CSKA Moscow
PSV Eindhoven 2 – 0 Wolfsburg
GROUP C;
FC Astana 0 – 0 Atletico Madrid
Benfica 2 – 1 Galatasaray
GROUP D;
Borussia Moenchengladbach 1 – 1 Juventus
Sevilla 1 – 3 Manchester City
Ratiba ya michezo ya Ligi ya Mabingwa...
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Ligi kuu Tanzania kuendelea leo
11 years ago
GPLLigi Kuu Bara kuendelea leo
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA
GROUP: E
BATE Borisov – Bayer Leverkusen 20:00 EAT
Barcelona – Roma 22:45 EAT
GROUP: F
Arsenal – Dinamo Zagreb 22:45 EAT
Bayern Munich – Olympiakos 22:45 EAT
GROUP: G
Porto – Dynamo Kyiv 22:45 EAT
Maccabi Tel Aviv – Chelsea 22:45 EAT
GROUP: H
Zenit St. Petersburg – Valencia 20:00 EAT
Lyon – Gent 22:45 EAT
10 years ago
StarTV30 Sep
Ligi ya Mabingwa Ulaya kuendelea tena leo.
Katika michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya leo kuna kivumbi kingine ambapo CSKA Moscow itakuwa na kibarua kigumu pale watakapowakaribisha Bayern Munich.
Wakati huo huo Man City waliopigwa bao moja na Bayern Munich watakutana na AC Roma iliyowapiga CSKA Moscow mabao matano katika mechi iliyopita.
Paris St G ya Ufaransa wao wanakutana uso kwa uso na Barcelona
Ukumbumbuke katika mechi ya wikendi iliyopita Paris St G walitoka sare na Ajax bao moja kwa moja.
Ajax inakutana leo na Apoel...