Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uefa:ligi kuendelea leo

Michezo ya pili ya michuano ya klabu bingwa itaendelea tena kushika kasi leo usiku kwa michezo nane kuchezwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

UEFA Champion Ligi kuendelea tena.

Michuano ya UEFA Champion ligi inatarajia kuendelea tena kesho Jumanne kwa michezo kadhaa katika mechi za makundi.

 

9 years ago

Mtanzania

Michuano ya Uefa kuendelea leo

Germany Soccer Champions League FinalLONDON, ENGLAND

MICHEZO ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali, ambapo michezo nane itapigwa.

Katika kundi E, Barcelona watakuwa kwenye Uwanja wa nyumbani Camp Nou na kuwakaribisha wapinzani wao, Bayern Leverkusen, kutoka nchini Ujerumani, mchezo ambao unaonekana kuwa na mvuto wa aina yake.

Katika mchezo wa kwanza wa michuano hii Barcelona ilikutana na AS Roma na matokeo yakawa 1-1, hata hivyo, katika mchezo wa leo Barcelona...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uefa:Klabu bingwa ulaya kuendelea leo

Ligi ya mabingwa ulaya itaendelea kutimua vumbi leo kwa michezo nane kuchezwa katika viwanja tofauti

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA na ratiba ya leo

Champions-League

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea jana kwa michezo nane (8) iliyopigwa katika viwanja nane tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Real Madrid 1 – 0 Paris Saint-German  

Shakhtar Donetsk 4 – 0 Malmo  

GROUP B;

Manchester United 1 – 0 CSKA Moscow

PSV Eindhoven 2 – 0 Wolfsburg     

GROUP C;

FC Astana 0 – 0 Atletico Madrid  

Benfica 2 – 1 Galatasaray   

GROUP D;

Borussia Moenchengladbach 1 – 1 Juventus 

Sevilla 1 – 3 Manchester City 

Ratiba ya michezo ya Ligi ya Mabingwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Tanzania kuendelea leo

Ligi kuu ya Tanzania bara itaendelea tena leo kwa timu 14 kujitupa katika viwanja saba nchini.

 

11 years ago

GPL

Ligi Kuu Bara kuendelea leo

Kwenye Uwanja wa taifa, mabingwa watetezi Yanga watakuwa na kibarua kigumu mbele ya Maafande wa Ruvu Shooting, ikumbukwe katika mzunguko wa kwanza vijana wa Jangwani walifanikiwa kuondoka na ushindi wa bao 1-0. Mechi zingine Kagera Sugar ipo kwenye Uwanja wa nyumbani wa Kaitaba wakikaribisha Rhino Rangers, Coastal Union  ya Tanga itakuwa na shughuli pevu dhidi ya Mbeya City. Maafande wa JKT Oljoro wapo nyumbani wakiisubiri...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA

uefa_champions_league-wallpaper-1440x1080

GROUP: E

BATE Borisov – Bayer Leverkusen   20:00 EAT

Barcelona – Roma  22:45 EAT

GROUP: F

Arsenal – Dinamo Zagreb  22:45 EAT

Bayern Munich – Olympiakos  22:45 EAT

GROUP: G

Porto – Dynamo Kyiv  22:45 EAT

Maccabi Tel Aviv – Chelsea  22:45 EAT

GROUP: H

Zenit St. Petersburg – Valencia  20:00 EAT

Lyon – Gent  22:45 EAT

 

10 years ago

StarTV

Ligi ya Mabingwa Ulaya kuendelea tena leo.

Katika michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya leo kuna kivumbi kingine ambapo CSKA Moscow itakuwa na kibarua kigumu pale watakapowakaribisha Bayern Munich.

 
Wakati huo huo Man City waliopigwa bao moja na Bayern Munich watakutana na AC Roma iliyowapiga CSKA Moscow mabao matano katika mechi iliyopita.

 
Paris St G ya Ufaransa wao wanakutana uso kwa uso na Barcelona

 
Ukumbumbuke katika mechi ya wikendi iliyopita Paris St G walitoka sare na Ajax bao moja kwa moja.

 
Ajax inakutana leo na Apoel...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani