UEFA Champion Ligi kuendelea tena.
Michuano ya UEFA Champion ligi inatarajia kuendelea tena kesho Jumanne kwa michezo kadhaa katika mechi za makundi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Uefa:ligi kuendelea leo
10 years ago
StarTV30 Sep
Ligi ya Mabingwa Ulaya kuendelea tena leo.
Katika michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya leo kuna kivumbi kingine ambapo CSKA Moscow itakuwa na kibarua kigumu pale watakapowakaribisha Bayern Munich.
Wakati huo huo Man City waliopigwa bao moja na Bayern Munich watakutana na AC Roma iliyowapiga CSKA Moscow mabao matano katika mechi iliyopita.
Paris St G ya Ufaransa wao wanakutana uso kwa uso na Barcelona
Ukumbumbuke katika mechi ya wikendi iliyopita Paris St G walitoka sare na Ajax bao moja kwa moja.
Ajax inakutana leo na Apoel...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9X7HhgL_yvo/XtAGmlKC87I/AAAAAAALr7U/NUQc87_L4icXCczjCM38uaExzuPNGb_1ACLcBGAsYHQ/s72-c/b4961be9-1df6-409e-a3b9-49e89b3825f0.jpg)
LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA TENA JUNI 17, MAN CITY VS ARSENAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-9X7HhgL_yvo/XtAGmlKC87I/AAAAAAALr7U/NUQc87_L4icXCczjCM38uaExzuPNGb_1ACLcBGAsYHQ/s640/b4961be9-1df6-409e-a3b9-49e89b3825f0.jpg)
Mechi hizo zikiwa ni viporo zitawakutanisha mabingwa watetezi Manchester City dhidi ya Arsenal na Aston Villa dhidi ya Sheffield United huku ratiba kamili ikianzia wikiendi ya Juni 19-21.
Bado kuna jumla ya mechi 92 ambazo zinahitaji kuchezwa na vilabu vyote 20 baada ya Ligi hiyo kusiimamishwa kwa muda usiojulikana Machi 13 kutokana na mlipuko wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-r7UC0K6y64M/VdWqJpyrt1I/AAAAAAAHyio/R5SVPpicx9M/s72-c/mail.google.com.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z0K9aWpjI9o/VHlnt9wGk3I/AAAAAAAG0Ec/k7323zojKWg/s72-c/Sports-swahili-Blog-Ad-800-X-600-Pixel.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Van Gaal azungumzia nafasi ya Man United kushinda Uefa Champion League
Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Baada ya kutoa sare na timu ya West Ham United, Kocha wa Manchester United, Mdachi Louis Van Gaal amezungumzia nafasi ya timu yake kama inauwezo wa kutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champion League).
Majibu ya kocha huyo yalitegemewa na watu wengi kutokana na mwenendo ulivyo kwa sasa kwa klabu hiyo kongwe ya nchini Wingereza ambayo imekuwa inapata matokeo ambayo hayawaridhishi mashabiki wa timu hiyo, Van Gaal amesema kikosi chake...
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Michuano ya Uefa kuendelea leo
LONDON, ENGLAND
MICHEZO ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali, ambapo michezo nane itapigwa.
Katika kundi E, Barcelona watakuwa kwenye Uwanja wa nyumbani Camp Nou na kuwakaribisha wapinzani wao, Bayern Leverkusen, kutoka nchini Ujerumani, mchezo ambao unaonekana kuwa na mvuto wa aina yake.
Katika mchezo wa kwanza wa michuano hii Barcelona ilikutana na AS Roma na matokeo yakawa 1-1, hata hivyo, katika mchezo wa leo Barcelona...
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Uefa:Klabu bingwa ulaya kuendelea leo