Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michuano ya Uefa kuendelea leo

Germany Soccer Champions League FinalLONDON, ENGLAND

MICHEZO ya pili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali, ambapo michezo nane itapigwa.

Katika kundi E, Barcelona watakuwa kwenye Uwanja wa nyumbani Camp Nou na kuwakaribisha wapinzani wao, Bayern Leverkusen, kutoka nchini Ujerumani, mchezo ambao unaonekana kuwa na mvuto wa aina yake.

Katika mchezo wa kwanza wa michuano hii Barcelona ilikutana na AS Roma na matokeo yakawa 1-1, hata hivyo, katika mchezo wa leo Barcelona...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Michuano ya UEFA hapatoshi leo

Kivumbi cha michuano ya Kombe la UEFA, Chelsea na PSG na Borrusia Dortmund dhidi ya Real Madrid

 

9 years ago

BBCSwahili

Uefa:ligi kuendelea leo

Michezo ya pili ya michuano ya klabu bingwa itaendelea tena kushika kasi leo usiku kwa michezo nane kuchezwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Uefa:Klabu bingwa ulaya kuendelea leo

Ligi ya mabingwa ulaya itaendelea kutimua vumbi leo kwa michezo nane kuchezwa katika viwanja tofauti

 

9 years ago

Bongo5

Matokea ya michuano ya UEFA Europa League

article-3335573-2ED8322A00000578-942_964x386

Usiku wa November 26 ilipigwa michezo ya mechi za michuano ya UEFA Europa League, Katika viwanja mbali mbali na haya ndo matokea ya mechi hizo. klabu ya Liverpool ambayo inashiriki michuano hiyo ilikuwa mwenyeji wa klabu ya Bordeaux katika dimba la Anfield.

Ajax

Ajax 2

Ajax 3

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

BBCSwahili

UEFA Champion Ligi kuendelea tena.

Michuano ya UEFA Champion ligi inatarajia kuendelea tena kesho Jumanne kwa michezo kadhaa katika mechi za makundi.

 

9 years ago

Mtanzania

Uefa 16 borakuendelea leo

trophyMANCHESTER, ENGLAND

MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inatarajia kuendelea leo kwa baadhi ya michezo kwa kuzitafuta timu ambazo zitaingia hatua ya 16 bora.

Kuna klabu ambazo tayari zimetangulia katika hatua hiyo kama vile Real Madrid, Barcelona, PSG, Juventus, Man City, Bayern Munich na Zenit.

Kivumbi ni leo kwa Klabu ya Manchester United ambayo itashuka dimbani dhidi ya Wolfsburg katika kundi B, huku kila timu ikihitaji ushindi ili kujihakikishia inaingia 16 bora.

Wolfsburg...

 

11 years ago

GPL

MICHUANO YA ESTHER CUP KUZINDULIWA LEO

Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Wilayani Bunda, mkoani Mara, Esther Bulaya akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakimsikiliza Esther Bulaya (kushoto) katika Hoteli ya Atrium iliyopo Sinza, Afrikasana jijini Dar.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea Paris St Germany dimbani leo UEFA

Chelsea itashuka katika dimba lake la Stamford Bridge kuwakaribisha Paris St Germany katika mchezo wa klabu bigwa ulaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani