UFAFANUZI WA MADAI TUME YA OPERESHENI TOKOMEZA KUKWAMA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Ukata wakwamisha Tume ya Operesheni Tokomeza
![Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu, Balozi Ombeni Sefue](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Ombeni-Sefue.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu, Balozi Ombeni Sefue
NA MICHAEL SARUNGI
TUME iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya kuchunguza madhara yaliyotokea katika Operesheni Tokomeza Ujangili, hadi sasa inadaiwa haijaanza kazi kutokana na madai ya kutopatiwa fedha, MTANZANIA limebaini.
Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA, umebaini kuwa tume hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wake Jaji Mstaafu Hamisi Msumi haijaanza kazi .
Akizungumzia kutofanya kazi kwa tume hiyo, Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu, Balozi...
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Mar
Taarifa ya tume kuchunguza operesheni tokomeza yaiva
NA RACHEL KYALA TUME ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza, inatarajia kuwasilisha taarifa yake kwa Rais Jakaya Kikwete, wakati wowote kuanzia sasa. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji (mstaafu) Hamisi Msumi, alisema hayo alipozungumza na Uhuru jana na kueleza kwamba wameshakamilika kazi. Alisema walifanya majumuisho ya taarifa na kukamilisha ripoti ambayo wanapaswa kumkabidhi Rais Kikwete.
“Wakati wowote kuanzia leo, tutamwomba Rais Kikwete atupangie siku ya kukutana naye ili tumkabidhi ripoti...
11 years ago
Mwananchi03 May
JK aunda Tume kuchunguza Operesheni Tokomeza Ujangili
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Tume ‘Operesheni Tokomeza’ kutembelea Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya
Katibu wa Tume Wakili Fredrick Manyanda.
Na Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya kwanza ya ziara yake katika Mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji hiyo.
Kwa mujibu wa Taarifa ya Tume hiyo iliyotolewa leo, Jumatano (Septemba 10, 2014) na Katibu wa Tume Wakili Fredrick Manyanda, ziara hiyo itaanza tarehe 17 mwezi huu na kumalizika tarehe 6 mwezi ujao.
Kwa mujibu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZhRgsV-UFh8/U6llJihjvlI/AAAAAAAFsok/v7j-XJi_Ue8/s72-c/unnamed+(9).jpg)
JK aapisha Balozi mmojA na Wajumbe wanne wa Tume ya Operesheni Tokomeza
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZhRgsV-UFh8/U6llJihjvlI/AAAAAAAFsok/v7j-XJi_Ue8/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ShU73SqDBCI/VJq1BZeVVTI/AAAAAAAG5hQ/kX_rgD9Ga-A/s72-c/Taarifa%2Bkwa%2Bumma%2BTOKOMEZA%2BJANUARI%2B2015.jpeg)
Tume Operesheni Tokomeza kukusanya maoni mikoa ya Kaskazini na Kati Januari 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-ShU73SqDBCI/VJq1BZeVVTI/AAAAAAAG5hQ/kX_rgD9Ga-A/s1600/Taarifa%2Bkwa%2Bumma%2BTOKOMEZA%2BJANUARI%2B2015.jpeg)
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza itakusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili Nchini mikoa ya Mikoa ya Arusha, Manyara, Tabora, Singida na Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa tarehe 24 Desemba, 2014 na Katibu wa Tume hiyo, Bw.Frederick Manyanda, Tume inatarajiwa kuendelea na zoezi la kukusanya maoni na taarifa kuanzia tarehe 5 Januari , 2015 mpaka tarehe 21 Januari,2015 katika...
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Tume ya ‘Operesheni Tokomeza’ kutembelea mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara
Na Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya pili ya ziara yake katika Mikoa ya Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Katibu wa Tume hiyo Wakili Fredrick Manyanda (pichani), Tume hiyo itatembelea mikoa hiyo kuanzia keshokutwa Alhamisi, Oktoba 23, mwaka huu hadi tarehe Novemba...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YwpczuxFEMo/VEYcnIU4GPI/AAAAAAAGsI0/LwbbxG3eLZI/s72-c/unnamed.jpg)
Tume ‘Operesheni Tokomeza’ kwenda Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mwanza na Mara keshokutwa 23 Oktoba
![](http://2.bp.blogspot.com/-YwpczuxFEMo/VEYcnIU4GPI/AAAAAAAGsI0/LwbbxG3eLZI/s1600/unnamed.jpg)