Ugomvi wa Lowassa na Kikwete wawapumbaza Watanzania
NIANZE makala haya kwa kusahihisha eneo moja dogo katika makala yangu ya wiki iliyopita iliyokuwa
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”

HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO

10 years ago
Mwananchi19 Oct
Lowassa: Nimejiandaa kuwaongoza Watanzania
10 years ago
StarTV03 Sep
Lowassa kuhakikisha madini yanawanufaisha watanzania
Mgombea Urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowasaa amesema endapo wakazi wa mkoa wa Ruvuma watampa ridhaa ya kuingoza Tanzania atahakisha madini yaliyoko nchini yanawanufaisha Watanzania kwa kupata ajira.
Katika viwanja vya Matarawe mkoani Ruvuma, Lowassa amesema wawekezaji watatakiwa kujipanga upya kwa kuwa sekta ya madini itapaswa iwe ndiyo mkombozi kwa vijana kwa kuwapa ajira.
Mheshimiwa Edward Lowasa akihutubia katika viwanja vya Matarawe mkoani Ruvuma amesema...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Acheni kukaa vijiweni, Lowassa aasa Watanzania
WATANZANIA wameshauriwa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo badala ya kukaa vijiweni na kuwajadili watu, jambo ambalo haliwezi kuwapa tija yoyote.
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
LOWASSA AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA AJIRA ZITOLEWAZO NA AFRIKA MASHARIKI
Kauli hiyo ilitolewa jana na mgombea wa Urais kupitia Chadema, Edward Lowassa alipokuwa kwenye kampeni zake zilizofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Namanga.
Lowassa alisema iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahakikisha kuwa watanzania wanachangamkia fursa za Afrika Mashariki kama ilivyo kwa Kenya.
"Napenda mahusiano ya Afrika...
11 years ago
Habarileo22 Jan
Kikwete-Hatuzuii Watanzania kuchimba gesi
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali haina mpango na kamwe haiwezi kuzuia kampuni ya kitanzania au Mtanzania kushiriki utafiti na uchimbaji mafuta na gesi ingawa ni gharama. Pia Rais Kikwete amebainisha kuwa Serikali imeweka utaratibu wa kuhakikisha Watanzania bila kujali maeneo na wa kizazi cha sasa na kijacho, wananufaika na rasilimali zote asilia za nchi, kwa kuhakikisha mapato yanayopatikana kutokana na rasilimali hizo yanafikia Watanzania wote.
10 years ago
Habarileo08 Jul
Kikwete ahimiza Watanzania kujiandikisha BVR
RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kujiandikisha, vinginevyo wasije kushangaa watakapochaguliwa viongozi wasiofaa.
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Kikwete ‘ampiga’ kijembe Lowassa
KATIKA hali ambayo ni nadra kujitokea, Rais Jakaya Kikwete, amewataka viongozi wa dini nchini ‘kulima mraba’ wao vizuri ili kulisaidia taifa, ikiwa ni pamoja na kutowapa nafasi viongozi wa siasa kutumia majukwaa ya dini kuendeleza maslahi yao ya kisiasa, na hasa kupandikiza chuki katika jamii.
Kikwete ambaye katika hotuba yake hiyo hakutaja jina la mtu yeyote, lakini kauli yake hiyo inaweza kuhusishwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond,...