Ugonjwa mpya waingia nchini
Hatimaye Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetoa matokeo ya sampuli zilizopelekwa Nairobi nchini Kenya, kubaini chanzo cha utata wa kifo cha Bertha Boniphace (25) aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Wilaya ya Geita, mkoani hapa baada ya kuenea uvumi kuwa alikuwa akiumwa ugonjwa wa ebola.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Ugonjwa wa TB hatari waingia nchini
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Mtandao mpya wa simu waingia sokoni
TAASISI ya Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) kwa kushirikiana na tasisi ya mtandao wa usambazaji wa huduma (IPS network) imeingia katika soko la pamoja la mawasiliano kwa nchi...
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Wakimbizi 4000 waingia nchini Hungary
10 years ago
Habarileo03 May
Wakimbizi 800 kutoka Burundi waingia nchini
WAKIMBIZI 800 kutoka nchini Burundi wameingia nchini kupitia mkoani Kigoma huku wengine 87 wakirejeshwa nchini mwao baada ya kuingia nchini kwa kupitia wilayani Ngara mkoani Kagera.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f_GbUC0xJQI/VMePOIgw93I/AAAAAAAG_wM/eYIM4Aygs5Q/s72-c/IMG_6295.jpg)
TTCL na Huawei waingia mkataba wa kuboresha mawasiliano nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-f_GbUC0xJQI/VMePOIgw93I/AAAAAAAG_wM/eYIM4Aygs5Q/s1600/IMG_6295.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F81lquJVHtE/VMePOT6D9yI/AAAAAAAG_wY/aW9QguhZNaQ/s1600/IMG_6301.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AqzelI9XfXA/XuJEGMMrgYI/AAAAAAALtcE/QNSaDdP7JJAlGOs4YYGKzrMtucOfuvlUQCLcBGAsYHQ/s72-c/scan0008.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
JK mwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, apokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uQIpha_l4mE/VA9LaUXpTzI/AAAAAAAGiSY/Uuz7cxvcCv4/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Ugonjwa mpya waibuka Mtwara
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Waziri-Wa-Afya--Ocxtober7-2014.jpg)
Ugonjwa uliodhaniwa kuwa ni surua, ulioibuka katika shule ya Msingi Mkoma1, Kata ya Mnikachi wilaya ya Newala, Mtwara, imebainika siyo surua baada ya sampuli zilizochunguzwa kuonesha kuwa ugonjwa huo ni rubella.
Dalili za ugonjwa huo zinazodaiwa kuwa sawa na ugonjwa wa surua zimeelezwa kuwa ni pamoja na kuwashwa macho, homa, kuharisha, ngozi kuwasha, vipele, kubabuka midomo, mafua, kuumwa tumbo, ngozi kukakamaa pamoja na kupoteza hamu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e3hpUJ0tiRk/Xs_QMnk2x3I/AAAAAAALr54/Dp7s1rTY93oa5upBQQt5Fi2FNClgLuUKQCLcBGAsYHQ/s72-c/b3db98b9-b5f7-4b97-8509-ef24b334cda6.jpg)
UGONJWA WA MALARIA WAZIDI KUPUNGUA NCHINI
Takwimu za kitaifa za viashiria vya malaria kwa mwaka 2017 (Malaria Indicator Survey) inaonesha kuwa upatikanaji wa vyandarua (access) kwa wananchi kitaifa ni asilimia 63 na matumizi ya vyandarua kwa wanajamii kitaifa ni asilimia 52.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya uliofanyika wilayani Chunya.
Waziri Ummy amesema kuwa Mkoa wa Mbeya, upatikanaji wa...