Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UHAMIAJI Yawatia Mbaroni Watuhumiwa 03 Wanaofanya Shughuli za Kughushi Huduma za Kiuhamiaji

Watu watatu wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kughushi huduma mbalimbali za kiuhamiaji.

Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo katika Ofisi ndogo za Uhamiaji Makao Makuu Dar se salaam, Msemaji mkuu wa Uhamiaji Mrakibu Paul John Mselle alisema, Watuhumiwa hao walikamatwa jana  Juni 16,2020 majira ya saa saba usiku katika eneo la Somanga Wilaya ya Kigamboni na Mbagala Wilaya Temeke katika Jiji la Dar es salaam .
Watuhumiwa hao wamekamatwa kutokana na oparesheni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Polisi Mara yawatia mbaroni watu 72

 

Polisi mkoani wa Mara wamefanikiwa kuwakamata watu 72 kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kukutwa na misokoto 2800 ya bangi ,Pombe aina ya Gongo,bunduki na Risasi pamoja na pikipiki zilizoporwa kutokana na Oparesheni maalumu ya kupambana na uhalifu na wahalifu zinazoendelea katika wilaya za Bunda,Serengeti,Butiama Na Musoma.

Akizungumza na Vyombo vya Habari mjini Musoma, Kamanda wa jeshi la Polis mkoa wa Mara kamishina Msaidizi wa polisi Phillip Kalangi, amesema kuwa katika Oparation hizo ambazo...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU MANYARA YAWATIA MBARONI MAOFISA WAWILI WA TRA

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini, (TAKUKURU) Mkoani Manyara, inawashikilia maofisa wawili wa mamlaka ya mapato nchini (TRA) kwa kudaiwa kupokea rushwa ya shilingi milioni 10.
Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu (Pichani) akizungumza mjini Babati alisema maofisa hao TRA wanadaiwa kufanya kosa hilo kinyume cha kifungu cha 15 cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007. 
Makungu aliwataja majina yao maofisa hao wa TRA wanaodaiwa kupokea rushwa ya...

 

9 years ago

StarTV

Waziri Masauni aitaka Uhamiaji kuanza Operesheni ya kubaini wageni wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na watanzania

 

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeiagiza Idara ya Uhamiaji nchini kuanza Operesheni maalum ya kuwabaini wageni walioingia na kufanya kazi ambazo sio za kitaalamu zinazoweza kufanywa na Watanzania ili kuwachukulia hatua ya kuwaondosha.

Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Hamad Masauni baada ya kutembelea Makao Makuu ya Uhamiaji Kurasini jijini Dar Es Salaam na kuzungumza na makamishna wa idara hiyo.

Akiwa katika ofisi hizo kukagua shughuli zinazoendelea kwenye...

 

11 years ago

Michuzi

Idara ya Uhamiaji yahamishia shughuli zake zote kwenye jengo jipya Kurasini

 Taswira za  Uhamiaji House, jengo la Idara ya Uhamiaji ambamo  shughuli zote za mambo ya uhamiaji zinafanyika maeneo ya  Kurasini, wilaya ya Temeke, (nyuma ya Chuo cha Diplomasia), jijini Dar es salaam. Awali shughuli za uhamiaji zilikuwa zikifanyika katika jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani katikati ya jiji.

 

9 years ago

Habarileo

Watuhumiwa 4 wa ujambazi watiwa mbaroni

POLISI mkoani Katavi inawashikilia watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi waliokamatwa wakiwa na bunduki mbili aina ya SMG zilizokuwa na risasi 40 za moto.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa wizi wa mtandao mbaroni

JESHI la Polisi Kanda Maalumu jijini Dar es Salaam limewakamata watu wawili wanaojihusisha na mtandao wa uhalifu kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano (IT). Watuhumiwa hao Edison Mbekya (27), mkazi wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Watuhumiwa ujambazi 26 mbaroni Dar

kovaASIFIWE GEORGE NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO), DAR ES SALAAM

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikila watu 26 wanaodaiwa kuwa majambazi wanaojihusisha na vitendo mbalimbali vikiwamo vya kuvamia vituo vya polisi.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishina Suleimani Kova, alisema watuhumiwa hao wamekamatwa katika operesheni maalumu iliyoanza Agosti, mwaka huu.

Alisema watuhumiwa hao, walikamatwa na silaha...

 

10 years ago

GPL

WATUHUMIWA WA UJAMBAZI STAKISHARI WATIWA MBARONI

Kituo cha Polisi Stakishari kilichovamiwa na majambazi. JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limewakamata watu watano waliohusika na tukio la ujambazi katika Kituo cha Stakishari, kilichopo Ukonga jijini Dar pamoja na silaha kadhaa. Katika tukio hilo bunduki aina ya SMG 7, SAR 7 na risasi 28 za SMG vimekamatwa vyote vikiwa vya Kituo cha Stakishari. Mbali na vitu hivyo, sanduku lenye fedha kiasi cha shilingi milioni 170 pamoja na...

 

9 years ago

Michuzi

WATUHUMIWA WA MAKOSA YA MTANDAO WATIWA MBARONI

Mtuhumiwa wa makosa ya mtandao anayetuhumiwa kusambaza katika mitandao  taarifa za uongo zinazomhusu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama,  Benedic Angelo Ngonyani (24) (wa kwanza Kulia) akiwa katika mahakama ya hakimu mkazi ya Kisutu akisubiri kusomewa mashtaka. 
Wengine ni watuhumiwa wa wizi kwa kutumia mitandao ya simu (fraud and use of telecommunication network) Ally Hamze (53) raia wa Afrika Kusini(wa Pili kulia), Huang Kun Bing (26)Raia wa China (wa Tatu Kulia) Irfan Mirza Baig (46) (wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani