UHUSIKA WA WAZAZI HUSABABISHA MTOTO AWE GUMEGUME AU GUBEGUBE KATIKA MAPENZI -5
![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrIUOXaMFmguOjgcyCs*TpuiAF9hN*nOk4YYSYdChxecaYXtY*9aZXhgTanc0P7ZI82J0Rpu4T4NpNFkeEOq8*6/loveee.jpg?width=650)
KUTOKA mwanzo wa makala haya mpaka hapa tulipofikia, sina shaka utakuwa umeshatambua namna ambavyo uhusika wa wazazi unavyoweza kuwafanya watoto wao kuwa ama magubegube au magumegume katika mapenzi. Kutoka hapo, sasa tuhitimishe mambo machache kwa kupeana maelekezo ya kimsingi ambayo yanaweza kukusaidia katika maisha yako ya kimapenzi hata kama ulipata muongozo wa ovyo kutoka kwa wazazi wako. Haishindikani wewe kuwa bora hata...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-15mPXOYxsmNea5wBBdTDPImxyZEg-8XgbTqbhBBvnONsJ1yR6uUGuYrrWSBm0JBVwogFELNlHpPr7nfl4AoxCp/LOV.jpg?width=650)
UHUSIKA WA WAZAZI HUSABABISHA MTOTO AWE GUMEGUME AU GUBEGUBE KATIKA MAPENZI -4
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Nafasi ya wazazi katika mavazi ya mtoto
10 years ago
Bongo513 Mar
Wazazi katika shule anayosoma mtoto wa Beyonce na Jay Z walalamika, fahamu ni kwanini!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun3K43xaKBymzPSwInyj9z1tuvZQoCdy6mh5tuRxD3jW6fvMQm4OePQTWtvfVq-7PedEaqU2mHHPQ53YzFLB3NMT/Kiba.jpg)
JOKATE: WAZAZI WASIINGILIE MAPENZI YA WATOTO
10 years ago
Bongo511 Nov
Amini: Nataka mke wangu ajifungue mtoto wa kiume ili awe mwanasheria
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
UK yapitisha Sheria ya mtoto wa wazazi 3
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_lLITEcPF8o/U8ZiurAkz8I/AAAAAAAF2tU/IsDjezrFA70/s72-c/IMG-20140716-WA0000.jpg)
MTOTO ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-_lLITEcPF8o/U8ZiurAkz8I/AAAAAAAF2tU/IsDjezrFA70/s1600/IMG-20140716-WA0000.jpg)
Tunawaomba Watanzania na watu wote mtusaidie kumtafuta mtoto wetu. Maneno yanayosemwa kwamba kachukuliwa na baba yake si ya kweli kwani mimi ndiye baba yake mzazi na tunaishi pamoja na mke wangu.
Asanteni sana kwa msaada wenu na Mungu awabariki.
![](http://4.bp.blogspot.com/-10qH2Fj-ndk/U8Zj2y52sYI/AAAAAAAF2tg/vAw_5olN6uY/s1600/IMG-20140716-WA0001.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Oct
'Wazazi zingatieni haki za mtoto'
WAZAZI na walezi wa watoto wamehimizwa kuzingatia haki za mtoto katika malezi yao kuanzia ngazi ya familia kwa kuwapa stahili zote muhimu zinazotajwa katika Katiba, sheria na mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania imeiridhia.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s72-c/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
MTOTO HUYU ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s400/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
Kwa mujibu wa mzazi wa mwanafunzi huyo, Joyce Nchimbi, alisema mtoto huyo alitoweka nyumbani miezi mitatu iliyopita akiwa amevaa nguo hiyo.
Alisema mara ya mwisho alionekana mitaa ya Railways akiwa na wanafunzi wenzake lakini baada ya hapo hajaonekana tena.
Joyce alisema juhudi za kumtafuta mtoto huyo kwa ndugu na jamaa hazikufanikiwa na kutoa taarifa...