Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza yamtambua mtu wa IS.

Vyanzo vya kiintelijensia nchini Uingereza vimeiambia BBC kwamba wamemtambua mtu anaye nadi propaganda za is.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Awekwa moyo wa mtu aliyekufa Uingereza

Madaktari wamefanya upandikizaji wa kwanza wa moyo kwa kutumia moyo mwengine uliosimama kufanya kazi Ulaya.

 

11 years ago

Michuzi

HATUKUITISHA MKUTANO KUMNYOSHEA MTU KIDOLE - UINGEREZA

Na Mwandishi Maalum 
 Uingereza imeeleza kuwa , mkutano wa kimataifa uliofanyika mwezi uliopitia jijini London, Uingereza na kujadili namna ya kukabiliana na biashara haramu ya wanyama pori duniani, haukulenga kumnyoshea kidole mtu yeyote.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Uingereza katika Umoja wa Mataifa, Balozi Peter Wilson wakati wa mkutano wa kundi la nchi marafiki kuhusu ujangili na biashara haramu ya wanyamapori.
Mkutano huo ulifanyika siku ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Christmas sio kila mtu anasherehekea, hawa hapa watakuwa kazini kama kawaida Uingereza..

December 25 huwa ni siku ambayo wakristo wengi duniani wanaungana kwa pamoja kusherehekea sikukuu ya Christmas, japo sikukuu inawahusu wakristo lakini huwa ni siku ya mapumziko kwa ujumla kwa watu wote bila kujali dini zao. Sasa nimekutana na hii stori kutoka Uingereza, labda nikufahamishe tu kwamba kama ikitokea December 25 2015 utakuwa na jukumu au […]

The post Christmas sio kila mtu anasherehekea, hawa hapa watakuwa kazini kama kawaida Uingereza.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

FBI yamtambua mpiganaji wa jihad

Shirika la upelelezi,FBI limesema limemtambua aliyeshiriki mauaji ya wanahabari na mfanyakazi wa shirika la misaada

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Kenya yamtambua muuaji

Kenya imemtambua mmoja ya wapiganaji waliohusika katika mauaji ya chuo kikuu cha Garissa kwamba ni mtoto wa afisa wa serikali.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yamtambua Rage Simba

>Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji TFF, imemtaka mwenyekiti halali wa Simba, Ismail Rage kuitisha Mkutano Mkuu kwa mujibu wa taratibu za klabu hiyo.

 

10 years ago

GPL

MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU

Stori:  Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Mtu Chee Ft Jux,Deddy — Mtu Tatu

Rappers wanaounda kundi la Mtu Chee, Stamina, Country Boy na Young Killer wameachia wimbo mpya unaitwa “Mtu Tatu” wamewashirikisha Jux na Deddy Studio Kiri Records. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani