HATUKUITISHA MKUTANO KUMNYOSHEA MTU KIDOLE - UINGEREZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AFUFJE3vptg/UyFlVfP-KWI/AAAAAAAFTSw/a_GeBbSb-yk/s72-c/unnamed+(12).jpg)
Na Mwandishi Maalum
Uingereza imeeleza kuwa , mkutano wa kimataifa uliofanyika mwezi uliopitia jijini London, Uingereza na kujadili namna ya kukabiliana na biashara haramu ya wanyama pori duniani, haukulenga kumnyoshea kidole mtu yeyote.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Uingereza katika Umoja wa Mataifa, Balozi Peter Wilson wakati wa mkutano wa kundi la nchi marafiki kuhusu ujangili na biashara haramu ya wanyamapori.
Mkutano huo ulifanyika siku ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Uingereza yamtambua mtu wa IS.
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Awekwa moyo wa mtu aliyekufa Uingereza
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Christmas sio kila mtu anasherehekea, hawa hapa watakuwa kazini kama kawaida Uingereza..
December 25 huwa ni siku ambayo wakristo wengi duniani wanaungana kwa pamoja kusherehekea sikukuu ya Christmas, japo sikukuu inawahusu wakristo lakini huwa ni siku ya mapumziko kwa ujumla kwa watu wote bila kujali dini zao. Sasa nimekutana na hii stori kutoka Uingereza, labda nikufahamishe tu kwamba kama ikitokea December 25 2015 utakuwa na jukumu au […]
The post Christmas sio kila mtu anasherehekea, hawa hapa watakuwa kazini kama kawaida Uingereza.. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi19 Mar
UPDATES: MKUTANO WA DIASPORA NCHINI UINGEREZA 2014
Kamati hiyo itakuwa chini ya Uenyekiti wa Bi Mariam Kilumanga akisaidiwa na Bw. Cleopa John katika nafasi ya Katibu. Aidha Bi Maxine Brown atashughulikia mawasiliano kati ya kamati na watanzania waishio nchini...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0QVEU_psV3s/VL_BiSJYfII/AAAAAAAG-vo/Ly0ULiAlz3Q/s72-c/IMG_2445.jpg)
Dk. Shein aufungua Mkutano wa Madaktari kutoka Uingereza
![](http://1.bp.blogspot.com/-0QVEU_psV3s/VL_BiSJYfII/AAAAAAAG-vo/Ly0ULiAlz3Q/s1600/IMG_2445.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-J1VMXbcZ5sQ/VL_BqTxDoAI/AAAAAAAG-v0/LlfDrFeSE28/s1600/IMG_2452.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zye9H1s-HOY/VL_BqRVDihI/AAAAAAAG-v4/O3wxVtPYGG4/s1600/IMG_2453.jpg)
11 years ago
Michuzi27 Feb
TAARIFA KUHUSU MKUTANO WA DIASPORA NCHINI UINGEREZA 2014
11 years ago
Michuzi12 Aug
MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI UINGEREZA KUFANYIKA AGOSTI 30, 2014.
![](https://2.bp.blogspot.com/-Fquj7L3s4Xc/U-i_AC-3awI/AAAAAAAC6OM/noGwqWFXCuQ/s1600/ccmuk.jpg)
KATIKA MKUTANO HUO PIA KUTAFANYIKA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA TAWI LA CCM UINGEREZA ILI KUJAZA NAFASI INAYOACHWA WAZI NA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA TAWI HILI TOKA KUANZISHWA KWAKE NDUGU...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wIvznaLFsWQ/U7nXKMzZNQI/AAAAAAAFvag/fCssSiyDeKo/s72-c/ccm.png)
MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA UINGEREZA MWAKA 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-wIvznaLFsWQ/U7nXKMzZNQI/AAAAAAAFvag/fCssSiyDeKo/s1600/ccm.png)
WANACHAMA WOTE WENYE SIFA MNAKARIBISHWA KUCHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO YA...