UJENZI KATIKA HATUA ZA MWISHO
Ujenzi wa barababara ya mabasi yaendayo kasi ukiendelea kituo cha mabasi cha Urafiki. Kamera yetu leo hii imenasa hatua za mwisho za ujenzi wa vituo vya mabasi yaendayo kasi katika barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziHatua za mwisho za Maandalizi Mbio za Kilimanjaro Marathoni 2015
10 years ago
GPLSHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) KUFIKIA HATUA YA MWISHO
9 years ago
StarTV31 Dec
Uwekezaji Mohamed Dewji Mo  kwa Simba upo hatua za mwisho za mazungumzo
Klabu ya Simba imesema ipo katika hatua za mwisho za mazungumzo juu ya uwekezaji wa mfanyabiashara maarufu hapa nchini Mohamed Dewji Mo ambaye anatarajia kuwekeza kiasi cha Shilingi Bilioni 20 katika Klabu hiyo.
Makamu wa Rais wa Klabu ya Simba Kaburu Nyange,ameiambia Star tv kwa njia ya simu kuwa, Uongozi wa klabu hiyo unafuatilia kwa umakini juu ya uwekezaji huo ambao Wanachama wa Klabu hiyo ndio watakaotoa maamuzi ya mwisho.
Kaburu amesema Klabu hiyo inapaswa kubadilika na kuendeshwa...
10 years ago
Habarileo05 Sep
JK: Ujenzi wa maabara nchi nzima mwisho Novemba 15
WATENDAJI serikalini na hasa wakuu wa mikoa na wilaya, watatakiwa kuhakikisha wamekamilisha ujenzi wa maabara katika shule zote za kata ifikapo Novemba 15, mwaka huu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wTq5CxsTvBE/Uvd7A7BdMOI/AAAAAAAFL7E/VYs-VnG9DNM/s72-c/unnamed+(8).jpg)
shehena ya mwisho ya mabomba kwa ajili ya ujenzi wa bomba la gesi yawasili dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-wTq5CxsTvBE/Uvd7A7BdMOI/AAAAAAAFL7E/VYs-VnG9DNM/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
MichuziTWIGA CEMENT YAMWAGA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MRADI WA UJENZI WA MAKAZI YA ASKARI GEREZA WAZO JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboTWIGA CEMENT YAMWAGA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MRADI WA UJENZI WA MAKAZI YA ASKARI GEREZA WAZO JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Spencon: Jinsi tuhuma za rushwa, vitisho na magenge ya uhalifu zilivyoandama mwisho wa kampuni kubwa ya ujenzi Afrika
5 years ago
MichuziMAREKANI YARIDHISHWA NA HATUA ZA TANZANIA KATIKA USHIRIKISHWAJI WA WANAWAKE
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na mshauri wa Rais Trump kuhusu masuala ya maendeleo ya wanawake Balozi Kelley Currie mazungumzo...