Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UJUE UNDANI WA BIASHARA YA MNADANI!

NI Jumatatu nyingine tena napenda kukukaribisha katika safu hii maalum ya Ujasiriamali. Wiki iliyopita tulizungumzia namna ya kuanzisha biashara ya genge hivyo kuwaamsha walioamini kuwa hawawezi, leo nitazungumza nanyi wasomaji wangu kuhusu biashara ya kuzunguka minadani. MNADA NI NINI? Hii ni sehemu maalum iliyotengwa na sekta husika, wananchi au wanakijiji wa sehemu husika kwa ajili ya wafanyabiashara wa bidhaa tofauti na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UJUE UNDANI WA MEZ B

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva aliyekuwa akiwika na kundi la Chamber Squad, Moses Bushagama ‘Mez B’ amefariki dunia asubuhi ya leo majira ya saa 4:30 mjini Dodoma.Hii imekuwa ni pigo la pili kwa kundi la Chamber Squad kupoteza memba wake baada ya awali kumpoteza Albert Mangweha ‘Ngwear’.Katika makala haya yanauelezea undani wa Mez B mpaka kufikia umauti. Mez B akiwa katika moja ya mahojiano na kituo...

 

11 years ago

TheCitizen

Mnadani market boom is real

>Business is booming for traders at Dodoma’s famous Mnadani market as hundreds of people flock to the area, particularly on weekends, for a treat of ‘nyama choma’ and drinks.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Ujue ugonjwa wa figo

Magonjwa ya figo Figo hufanya kazi muhimu mwilini ambazo ni:- • Kudhibiti na kuhifadhi virutubishi na maji na kuondoa mabaki kupitia mkojo. • Kuchuja damu ili kuondoa mabaki ambayo ni sumu mwilini. Baadhi ya mabaki hayo ni urea, uric acid, creatinine na ammonia. • Kudhibiti viwango vya electrolyte mwilini, yaani Sodium (Na+ ) na Potassium (K+). Sodium husaidia kudhibiti wingi wa maji mwilini na pia huwezesha mawasiliano kati ya mfumo wa fahamu na misuli (enhances commucacation between...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu:Lazima Ujue Kutofautisha Kati ya Fashion na Style

Mbali na mambo yote, hakuna anebisha kuwa muigizaji Elizabeth Michel “Lulu” ni mrembo na mara zote hakosei katika mitoko yake hasa linapokuja swala maswala ya mitindo katika uvaaji na muonekano kwa ujumla. Nadhani kwa hilo hakuna ubishi kuwa Lulu yuko vizuri.

Leo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram Lulu ameamua kutoa elimu kidogo kuhusu kutofautisha kati ya Fashion na Style

Aliandika;

"Jua Kutofautisha Kati Ya FASHION Na STYLE... Fashion z wat we buy,n STYLE z how you wear...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujue uhusiano wa Jeshi la Polisi na watetezi wa haki za binadamu

HIVI karibuni Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) ulifanya mkutano wa siku moja uliowakutanisha maofisa waandamizi 30 kutoka mikoa mbalimbali nchini. Mkutano huo ulilenga kutafuta mahusiano mazuri kati...

 

11 years ago

GPL

OYA UKIONA UNAPENDWA NA MASHORI, UJUE UNA NYOTA YA NGOMA!

Inakuwa nini machizi wangu pale kati? Niaje…niaje washkaji zangu? Kitaa hiyo ni mpango? Kipande hii tunasebenza mwanzo mwisho aisee makachaa wangu. Timu ya taifa hasaa…ama nini? Basi barida barafu. Kama vipi karibu sana kwenye stori zetu. Hizi ni tamu kinoma chaliiangu! Kanyaga twende.Mia!
Mazee kitu cha weldi kapu pale kati Brazuka kwa akina Dilima na Neymar dizaini kama kilituweka bize ile mbaya arifu. Hata hivyo,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Njoo Sabasaba ujue Umoja wa Mataifa, miaka 70 ya kutetea ustawi wa dunia

DSC_0598

Muonekano wa nje wa Banda la Shirika la Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania lililopo ndani ya Karume Hall wanaoshiriki katika Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam ya sabasaba yaliyoanza kurindima jana kwenye katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Modewji blog team, Sabasaba

 Shirika la Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania wapo katika maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani