Ujumbe wa Madaktari Bingwa wa Jumuiya ya Watanzania Washington DC,MD,VA (DMV) Wawasili katika Bandari ya Zanzibar .
Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Seif Suleman akiwa katika bandari ya Zanzibar kuupokea Ujumbe wa Madaktari kutoka Jumuiya ya Watanzania Washington ukiwa wenyeji wa PBZ na Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Diaspora Zanzibar wakiwa katika bandari hiyo kuupokea kwa ajili ya kutoa huduma ya Afya kwa Wananchi wa Zanzibar katika hospitali ya Mnazi mmoja kesho, Kwa muji wa Mkurugenzi wa Idara hiyo Ndg Adila Hilal Vuai amesema utatoa huduma ya Uchunguzi wa Satatani ya Maziwa kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMadaktari kutoka Washington Diaspora Walioletwa na Jumuiya ya Watanzania DMV Watoa Hudua ya Afya Hospitali ya Mnazi Mmoja
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oBwRadxDgAw/Va0PNp5DYFI/AAAAAAAD0E0/uoEthg2jDkk/s72-c/d066240baba4eac217b97cc5b50b2b54.jpg)
VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV NA WAWAKILISHI WAO WAWASILI SALAMA TANZANIA NA KUTOA MSAADA WA MADAWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oBwRadxDgAw/Va0PNp5DYFI/AAAAAAAD0E0/uoEthg2jDkk/s640/d066240baba4eac217b97cc5b50b2b54.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--apcGHaA9_w/Va0PKCEUQ7I/AAAAAAAD0D8/geYc_8AG9Mk/s640/4a6c010224e7a391cd0baa5487a5a344.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Nov
JUMUIYA TA WATANZANIA DMV INAOMBA USHIRIKIANO WAKO KATIKA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA EBOLA
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAOMBA USHIRIKANO WAKO KATIKA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA EBOLA
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-gv_Q-bjJxek/U97k-5zuVNI/AAAAAAAF8xc/kVi_uILid6Q/s1600/dm1.jpg)
RAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO WA DIASPORA JIJINI WASHINGTON
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s72-c/logo.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s1600/logo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UvwL3Rs9NRk/VAnpx8TJ9mI/AAAAAAAAEVE/b48w150g9ko/s1600/logo%2Btanzania.jpg)
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2aN7EqULMVg/VOA-w7tSj5I/AAAAAAAAGA8/TMIs4TSe4zE/s1600/14-1.jpg)
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...
9 years ago
Vijimambo01 Sep
TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/2.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/3.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/4.jpg)
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/5.jpg)
Wananchi mbalimbali wakipatiwa huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni Zanzibar.
Mwashungi Tahir Maelezo-Zanzibar
Jumla ya madaktari bingwa tisa kutoka nchini china wakishirikiyana na madaktari wa hapa Zanzibar wameweza kutoa...
10 years ago
MichuziJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV NA WASHIRIKA WAO WATOA HUDUMA ZA KIMATIBABU NA MADAWA BURE KATIKA HOSPITALI YA MWANAYAMALA JIJINI DARâ€â€Ž
Wakina mama wakimsikiliza kwa makini Bi. Ify Nwabuku wakati akitoa maelezo juu ya upimaji wa Saratani kwa wakina mama...
10 years ago
VijimamboJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV NA WASHIRIKA WAO WATOA HUDUMA ZA KIMATIBABU NA MADAWA BURE KATIKA HOSPITALI YA MWANAYAMALA JIJI DAR
Wakina mama wakimsikiliza kwa makini Bi. Ify Nwabuku wakati akitoa maelezo juu ya upimaji wa Saratani kwa wakina mama...