Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa kukutana na Kikwete

Mwenyekiti wa TCD ambaye pia ni Mwenyekiti wa UDP, John Cheyo

VYAMA vyote vya siasa nchini vikiwemo vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vitakutana na Rais Jakaya Kikwete kabla ya mwisho wa wiki hii, kujadiliana na kushauriana juu ya maendeleo ya mchakato wa Katiba mpya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA kukutana na JK muda huu ni kujidhalilisha

BINAFSI nimeshangazwa na kubadilika kwa Rais Jakaya Kikwete kutaka kukutana na UKAWA katika kipindi hiki ambacho mijadala ya Bunge la Katiba imefika mwishoni na inasubiri kupigiwa kura. Je, Kikwete alitambua...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Shein agoma kukutana na Ukawa Zanzibar

>Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametupilia mbali maombi ya kumtaka kufungua mazungumzo na  viongozi wa Ukawa, ili kupatikana kwa mwafaka kwa wabunge wa Bunge la Katiba kutoka  Zanzibar na kurejea  bungeni.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE KUKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA -TCD

Na   Magreth Kinabo, Dodoma
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Jakaya Mrisho  Kikwete ameahidi kuonana na Viongozi wa Vyama vya Siasa vinavyounda Kituo cha Demkrasia Tanzania(TCD) kabla ya mwisho wa wiki kwa lengo la kushauriana.
 Kauli  hii imetolewa na Mwenyekiti wa TCD,Mhe. John  Cheyo mjini Dodoma wakati akizungumza na waandishi  wa   katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Bunge.
Mhe. Cheyo alisema Rais Kikwete amekubali kuonana nao kufutia kikao chao walichokaa kwa pamoja...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete kukutana na Watanzania waishio Ujerumani

Kufuatia mkutano wa Watanzania waishio ujerumani na Rais wa Tanzania Mhe Jakaya Kikwete, Mweyekiti wa umoja wa watanzania Ujerumani UTU e.V Bw, Mfundo Peter Mfundo ameeleza matarajio ya Watanzania waishio Ujerumani.
Alifafanua kwamba japokuwa Rais Kikwete amebakiza muda mfupi katika uongozi wake lakini Umoja huo unaamini kuwa madam Rais Kikwete ameona umuhimu wa kufanya mkutano na Watanzania wanaoishi ujerumani basi anaweza akatekeleza mahitaji ya Watanzania hao.
Bw. Mfundo alifafanua pia ...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete, Rais wa Sudan Kusini kukutana Arusha leo

Rais Jakaya Kikwete leo ataongoza mazungumzo ya maridhiano baina ya makundi yanayopingana ndani ya chama tawala cha Sudan Peoples Liberation Movement (SPLM) cha Sudan Kusini.

 

9 years ago

Vijimambo

DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa wamgomea Kikwete

Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana waligoma mbele ya Rais Jakaya Kikwete kuruhusu wajumbe wao kurejea katika Bunge Maalumu la Katiba, walipokutana katika kikao cha kusaka suluhu ya mkwamo wa mchakato wa Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wamjibu Kikwete

SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuwataka wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) warudi bungeni akidai hawana sababu ya kwenda kushitaki kwa wananchi kwa sababu watawacheka na...

 

10 years ago

Mtanzania

Kikwete awaita Ukawa Ikulu

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA WAANDISHI WETU, MOROGORO NA DODOMA

RAIS Jakaya Kikwete amesema yupo tayari kukutana na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ili kunusuru mchakato wa Katiba mpya.

Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja siku chache baada ya baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kupinga hatua ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumtuma Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kusaka suluhu na viongozi wa Ukawa.

Akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mjini Morogoro juzi, mara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani