UKAWA kukutana na JK muda huu ni kujidhalilisha
BINAFSI nimeshangazwa na kubadilika kwa Rais Jakaya Kikwete kutaka kukutana na UKAWA katika kipindi hiki ambacho mijadala ya Bunge la Katiba imefika mwishoni na inasubiri kupigiwa kura. Je, Kikwete alitambua...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1yfN1o-y5OBbS2TRLog5YfBPJzXrLMqw80ad8KsEYBASWc7jCW5GcSbJJUB8uLxOPPV6vWsjBtHXEtKgBlXx-v9/ukawa.jpg?width=650)
KIKAO CHA UKAWA KUMPATA MGOMBEA URAIS KINAENDELEA MUDA HUU
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa (kulia) na Mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu wakipata futari wakati wa mapumziko. KIKAO cha kumtafuta na kumtangaza mgombea urais kupitia Ukawa katika Ukumbi wa Hoteli ya Colosseum, Masaki jijini Dar es Salaam kinaendelea muda huu. Wajumbe wa kikao hicho wakipata futari wakati wa…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA umesema kuwa mgombea wao wa Urais watamtoa baada ya siku saba.
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
Habarileo27 Aug
Ukawa kukutana na Kikwete
VYAMA vyote vya siasa nchini vikiwemo vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vitakutana na Rais Jakaya Kikwete kabla ya mwisho wa wiki hii, kujadiliana na kushauriana juu ya maendeleo ya mchakato wa Katiba mpya.
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Dk Shein agoma kukutana na Ukawa Zanzibar
>Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametupilia mbali maombi ya kumtaka kufungua mazungumzo na viongozi wa Ukawa, ili kupatikana kwa mwafaka kwa wabunge wa Bunge la Katiba kutoka Zanzibar na kurejea bungeni.
10 years ago
MichuziUPDATES KUTOKA DODOMA MUDA HUU.
Waandishi wa Vyombo mbali mbali vya habari nchini Tanzania walioweka kambi kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma kwa ajili ya kutoa taarifa za vikao mbali mbali vinavyopendelea ili kumpata mgombea Urais wa Mwaka 2015 kupitia chama hicho.
UPDATES:kamati ya maadili ya tayari imemaliza kikao chake, kikao cha Kamati Kuu kinaendelea sasa kuwapata wagombea 5 watakaopelekwa NEC kupata 3.Ni mapumziko sasa wajumbe wa Kamati Kuu wameenda kufuturu kisha watarudi tena...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KdGFsYL1kT4/VZmERMMBxSI/AAAAAAAHnLY/9fxv2FOacZw/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF MUDA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-KdGFsYL1kT4/VZmERMMBxSI/AAAAAAAHnLY/9fxv2FOacZw/s1600/images.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-611o1mlS53s/VOhVHXEpD2I/AAAAAAAABFs/DSIp4J6145Y/s72-c/Mbeya1.jpg)
CHADEMA Mbeya muda huu, itifaki ya ulinzi imezingatiwa
Ni mh. Mbowe, Msigwa, Mwalimu, Silinde wakiongozwa na Mh. Mbilinyi "Sugu"
![](http://2.bp.blogspot.com/-611o1mlS53s/VOhVHXEpD2I/AAAAAAAABFs/DSIp4J6145Y/s1600/Mbeya1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iaAXXPFcpw4/VOhVHX_OwGI/AAAAAAAABFw/cLjj1tSyjwU/s1600/Mbeya2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aMit7YGwLlQ/VOhVHkxiIyI/AAAAAAAABF8/FqoYCriEcmc/s1600/Mbeya3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-611o1mlS53s/VOhVHXEpD2I/AAAAAAAABFs/DSIp4J6145Y/s1600/Mbeya1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iaAXXPFcpw4/VOhVHX_OwGI/AAAAAAAABFw/cLjj1tSyjwU/s1600/Mbeya2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aMit7YGwLlQ/VOhVHkxiIyI/AAAAAAAABF8/FqoYCriEcmc/s1600/Mbeya3.jpg)
11 years ago
GPLKHADIJA KOPA AKIFANYA YAKE MUDA HUU DAR LIVE
Khadija Kopa Malkia wa mipasho akifanya yake muda huu ndani ya Dar Live. ...Akicheza mbele ya mashabiki. ...Khadija Kopa…
11 years ago
Michuzi25 Apr
JK AKIONGEA MUDA HUU LIVE UKUMBI WA PTA SABASABA DAR ES SALAAM
Rais Jakaya Mrisho \kikwete akiongea na Taifa kupitia mkutano wa UVCCM baada ya kupokea maandamano yao ukumbi wa PTA katika viwanja vya SabaSaba jijini Dar es salaam muda huu. Matangazo haya yanarushwa moja kwa moja na TBC.
KUFUATILIA MATANGAZO HAYA BOFYA HAPA
KUFUATILIA MATANGAZO HAYA BOFYA HAPA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania