CHADEMA Mbeya muda huu, itifaki ya ulinzi imezingatiwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-611o1mlS53s/VOhVHXEpD2I/AAAAAAAABFs/DSIp4J6145Y/s72-c/Mbeya1.jpg)
Ni mh. Mbowe, Msigwa, Mwalimu, Silinde wakiongozwa na Mh. Mbilinyi "Sugu"
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziCCM wamnasa Kigogo aliyewahi kuwa mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA
Na Amiri Kilagalila,Njombe
Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa Bwana,Juju Martin Danda amepokelewa na Chama cha Mapinduzi CCM na kukabidhiwa kadi ya Chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe.
Akizungumza dhamira ya kujiunga na Chama hicho,Martin Danda amesema ni kutokana na uozo uliopo katika vyama vya upinzani.
“Nilifanya harakati...
Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa Bwana,Juju Martin Danda amepokelewa na Chama cha Mapinduzi CCM na kukabidhiwa kadi ya Chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe.
Akizungumza dhamira ya kujiunga na Chama hicho,Martin Danda amesema ni kutokana na uozo uliopo katika vyama vya upinzani.
“Nilifanya harakati...
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Wiki ya ulinzi na usalama wa mtoto februari 9 — 15 mwaka huu
Baadhi ya watoto wanaoishi katika mazingira hatarisha.
PRESS RELEASE WIKI YA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO.pdf by moblog
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
UKAWA kukutana na JK muda huu ni kujidhalilisha
BINAFSI nimeshangazwa na kubadilika kwa Rais Jakaya Kikwete kutaka kukutana na UKAWA katika kipindi hiki ambacho mijadala ya Bunge la Katiba imefika mwishoni na inasubiri kupigiwa kura. Je, Kikwete alitambua...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KdGFsYL1kT4/VZmERMMBxSI/AAAAAAAHnLY/9fxv2FOacZw/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF MUDA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-KdGFsYL1kT4/VZmERMMBxSI/AAAAAAAHnLY/9fxv2FOacZw/s1600/images.jpg)
10 years ago
MichuziUPDATES KUTOKA DODOMA MUDA HUU.
Waandishi wa Vyombo mbali mbali vya habari nchini Tanzania walioweka kambi kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma kwa ajili ya kutoa taarifa za vikao mbali mbali vinavyopendelea ili kumpata mgombea Urais wa Mwaka 2015 kupitia chama hicho.
UPDATES:kamati ya maadili ya tayari imemaliza kikao chake, kikao cha Kamati Kuu kinaendelea sasa kuwapata wagombea 5 watakaopelekwa NEC kupata 3.Ni mapumziko sasa wajumbe wa Kamati Kuu wameenda kufuturu kisha watarudi tena...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dZdFVtFRWxeimfqB5jxfs3Ogu5kZ5FCLTT*tNmE5GMRA8ecIxGvp1fj7cqzDMlpICe-yNl7m0ai1AKs0Bv7kOaF/MESI.gif?width=600)
Messi chini ya ulinzi mkali jijini Mbeya
Ramadhani Singano ‘Messi’. Sweetbert Lukonge, Dar na Sophia Mwaipyana, Mbeya
BENCHI la ufundi la Mbeya City limesema kuwa limejipanga vilivyo kuhakikisha kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ hafurukuti katika mechi ya kesho ya Ligi Kuu Bara itakayozikutanisha timu hizo kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa kumwekea ulinzi wa kutosha. Kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mwambusi...
11 years ago
GPLKHADIJA KOPA AKIFANYA YAKE MUDA HUU DAR LIVE
Khadija Kopa Malkia wa mipasho akifanya yake muda huu ndani ya Dar Live. ...Akicheza mbele ya mashabiki. ...Khadija Kopa…
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3bzKPLX6190/VV8NG_VwHEI/AAAAAAAAcJE/F0wIFqer50A/s72-c/1.jpg)
WAJUMBE WA KAMATI KUU WAKIJIANDAA NA KIKAO MJINI DODOMA MUDA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bzKPLX6190/VV8NG_VwHEI/AAAAAAAAcJE/F0wIFqer50A/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nKxENeh6x0o/VV8NDNNsRjI/AAAAAAAAcI0/I7s6F8JLCNU/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t8ox_btVq-k/VV8NFoAWPFI/AAAAAAAAcI8/C1xsOn2umdc/s640/03.jpg)
11 years ago
Michuzi25 Apr
JK AKIONGEA MUDA HUU LIVE UKUMBI WA PTA SABASABA DAR ES SALAAM
Rais Jakaya Mrisho \kikwete akiongea na Taifa kupitia mkutano wa UVCCM baada ya kupokea maandamano yao ukumbi wa PTA katika viwanja vya SabaSaba jijini Dar es salaam muda huu. Matangazo haya yanarushwa moja kwa moja na TBC.
KUFUATILIA MATANGAZO HAYA BOFYA HAPA
KUFUATILIA MATANGAZO HAYA BOFYA HAPA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania