UKAWA kuwasha moto kesho Jangwani
MWENYEKITI wa Kamati ya Ufundi na Oganaizesheni ya Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA), Benson Kigaila, amesema serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM), inawaandaa watanzania kusaka njia mbadala ya kutafuta...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fQjNmYQmQTM/Vin0rmkcK2I/AAAAAAAIB40/qTD_uWzolBM/s72-c/Ali-Kiba-akiwa-kwenye-pozi-ndani-ya-jukwaa-la-fiesta-Dodoma%2B%25281%2529.jpg)
ALI KIBA NA VICTORIA KIMANI KUWASHA MOTO COKE STUDIO KESHO
Ali Kiba ambaye anatamba na kwa vibao vyake mbalimbali katika msimu huu wa Coke Studio amefanya Kolabo matata (Mash- up) kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike maarufu kutoka nchini Kenya ,Victoria Kimani.
Wasanii wengine kutoka Tanzania waliopo kwenye msimu wa tatu wa Coke...
9 years ago
GPLALI KIBA NA VICTORIA KIMANI KUWASHA MOTO COKE STUDIO KESHO
Staa wa muziki wa Bongo Fleva Ali Kiba (kulia) kutoka Tanzania na Victoria Kimani kutoka Kenya. Wasanii nguli wa muziki wa Bongo Fleva Ali Kiba kutoka Tanzania na Victoria Kimani kutoka Kenya kesho Jumamosi watawasha moto katika onyesho la muziki la Coke studio linalorushwa na luninga ya Clouds kila siku ya Jumamosi. Ali Kiba ambaye anatamba na kwa vibao vyake mbalimbali katika msimu huu wa Coke Studio amefanya Kolabo matata...
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Ukawa ruksa kuzindua kampeni Jangwani kesho
Hatimaye Chadema imeruhusiwa kutumia Viwanja vya Jangwani kwa ajili ya kuzindua kampeni za mgombea wake wa urais, Edward Lowassa kesho.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a1fa24mfK7c/VnwL_hLjZLI/AAAAAAADEL4/s6RDtJkbLzQ/s72-c/_MG_4580.jpg)
REBECCA MALOPE AWASILI NCHINI TAYARI KWA KUWASHA MOTO TAMASHA LA XMASS DIAMOND JUBILEE KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-a1fa24mfK7c/VnwL_hLjZLI/AAAAAAADEL4/s6RDtJkbLzQ/s640/_MG_4580.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5HpdB4YfG7I/VAFMswYSqKI/AAAAAAAC8mI/JSvVtq8jES4/s72-c/missTZ2014.png)
MISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HpdB4YfG7I/VAFMswYSqKI/AAAAAAAC8mI/JSvVtq8jES4/s1600/missTZ2014.png)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
GPLMISS TANZANIA USA PAGEANT YAPAMBA MOTO, MAMISS WAANZA KUWASILI TAYARI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI
 Miss Tanzania USA Pageant kesho itafikia ukingoni itakapofanyika Downtown, Silver Spring Maryland nchini Marekani katika picha Jesca Kalemera (aliyesimama) akijinoa mwishomwisho mbele ya washiriki wenzake huku Pendo Rancy (kushoto) mmoja ya waratibu wa Miss Tanzania USA Pageant akimsikiliza wengine katika picha ni washiriki wa Miss Tanzania USA Pageant 2014 Maria Rutayuga (wapili toka kushoto), Mercy Sukaya (watatu toka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K_LkjDc3Rd0/VJUsyVBQWNI/AAAAAAAG4l8/9flQfWR5gQE/s72-c/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg)
Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach
![](http://3.bp.blogspot.com/-K_LkjDc3Rd0/VJUsyVBQWNI/AAAAAAAG4l8/9flQfWR5gQE/s1600/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Majirani kuwasha moto leo
Mashabiki wa soka England, Hispania au hata Afrika Mashariki zinakopendwa timu hizo leo watatuliza kiu zao kwa kuona mechi kali baina ya majirani, maarufu derby.
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Fiesta kuwasha moto Iringa leo
Baada ya kufanya makubwa katika Tamasha la Serengeti Fiesta lililofanyika kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora, tamasha hilo linafanyika leo hii mjini Iringa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania