Ukawa: Tutaidai Tanganyika nje ya Bunge
Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wameapa kuendelea kudai mfumo wa Muungano wa serikali tatu nje ya Bunge la Katiba kwa nguvu zote, ikiwamo kufanya maandamano ya amani nchi nzima.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo30 Mar
Ukawa yapata Ukawa-nje ya Bunge
BAADA ya kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ndani ya Bunge Maalum la Katiba, vyama vya siasa vya upinzani ,vimeunda umoja wa aina hiyo nje ya bunge hilo (UKAWA- nje) na kupanga kuwashawishi wananchi nchi nzima kudai Katiba yenye kujali maslahi yao.
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Ukawa waanza mapambano nje ya Bunge
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-OOMpIIOUE4c/Vk-Q-9R0c2I/AAAAAAAAXJU/Rmz4cuHKq4w/s72-c/BUNGE1.jpg)
WABUNGE WA UKAWA WATOKA NJE YA UKUMBI WA BUNGE
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Wanaovuruga Bunge la Katiba wapo nje ya UKAWA
INGAWA hatutaki kukubali hadharani, lakini kila mmoja anakiri moyoni mwake kwa siri kuwa mchakato wa kuandika katiba mpya umevurugika na karibu utasambaratika kabisa. Ndoto ya Watanzania kuipata katiba mpya katika...
11 years ago
Habarileo29 Jun
Serikali haijui sababu za Ukawa kutoka nje ya Bunge
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameelezea kutofahamu sababu za baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutoka nje ya Bunge hilo.
9 years ago
Vijimambo10 Sep
Ukawa: Tanganyika yaja.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ukawa-10Sept2015.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa mjini Zanzibar jana wakati wa uzinduzi wa kampeni ya mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, katika uwanja wa Demokrasia.
Maalim akihutubia umati wa wananchi katika mkutano huo ambao pia ulihudhuriwa na mgombea wa Ukawa wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Yaliyojiri Bunge Maalum la Katiba baada ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kutolewa nje ya ukumbi wa Bunge!
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman akipiga kura leo kwenye ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma kupitisha Sura na Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Yahya Kassim Issa akiomba mwongozo leo Bungeni kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta kuhusu kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman kuja kupiga kura na kukataa baadhi ya Ibara za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa wakati...
11 years ago
Habarileo01 Apr
Viongozi wa dini wakemea Ukawa-nje
UMOJA wa Katiba ya Watanzania nje ya Bunge Maalumu la Katiba (Ukawa-nje) umekosolewa na kunyooshewa vidole na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini waliosema hatua yake ya kutangaza kuzunguka nchi nzima ni kutumia muda na rasilimali vibaya.
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
Bunge la Libya lakutana nje ya Tripoli