Ukawa ‘watia mchanga’ uzinduzi wa Bunge
Wabunge wa vyama vinavyounda Ukawa jana walivuruga Bunge kwa muda kwa kuimba jina la Maalim Seif Sharif Hamad walipokuwa wakipinga kuingia bungeni Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kwa madai kuwa uongozi wake uliisha Novemba 2, baada ya Uchaguzi Mkuu uliofutwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2Mr2GYGzBul8Y2H6AEuI1H5lgNkZPJp6MThvzuLYTvQjpwFPc4hV2C*rMM6YjRqTP1xWnoHRsl7VoGbjqaJFPLy/PENGOSAFI.jpg?width=650)
MAASKOFU WATIA NENO BUNGE LA KATIBA
11 years ago
Habarileo30 Mar
Ukawa yapata Ukawa-nje ya Bunge
BAADA ya kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ndani ya Bunge Maalum la Katiba, vyama vya siasa vya upinzani ,vimeunda umoja wa aina hiyo nje ya bunge hilo (UKAWA- nje) na kupanga kuwashawishi wananchi nchi nzima kudai Katiba yenye kujali maslahi yao.
9 years ago
Vijimambo01 Sep
Uzinduzi Ukawa wamtikisa Sitta.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitta-1Sept2015.jpg)
Waziri huyo ameibuka na baadhi ya hoja hizo akizitumia kama ahadi za Chama Cha mapinduzi (CCM) kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
Baadhi ya ahadi hizo zilishatolewa na Chama hicho, lakini hazijaanza kutekelezwa hadi sasa.
Akizungumza na...
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
Uzinduzi wa kampeni za UKAWA, Jangwani yatapika
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Wasomi watoa mitazamo tofauti uzinduzi wa kampeni za Ukawa
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Mkapa, Sumaye wakosa uzinduzi Bunge la Katiba
9 years ago
Bongo Movies30 Aug
Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA
Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA
Credit:MillardAyo.Com
9 years ago
StarTV20 Aug
Serikali Yakataa Ombi la UKAWA Kutumia Uwanja wa Taifa kwa ajili ya Uzinduzi wa Kampeni Za Uchaguzi Mkuu
![](http://4.bp.blogspot.com/-GEboe3gnTq8/VdVs1JxJlcI/AAAAAAAAjXU/Q4epfhqNTfg/s1600/1.jpg)
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia taarifa kutoka Serikalini kuhusu Chadema kutumia Uwanja wa Taifa kuzindua kampeni zake siku ya tarehe 22 Agosti, 2015 jijini Dar es Salaam. Kanusho hilo lilitolewa katika Ukumbi wa Idara...
11 years ago
Dewji Blog03 May
Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge zawakumbusha Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kuwa Wazalendo
![MW1A](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/MW1A.jpg)
Na: Aron Msigwa na Frank Shija- MAELEZO
Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal ametoa wito kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kufanya maamuzi yanayozingatia maslahi mapana ya taifa ili kufanikisha...