Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAASKOFU WATIA NENO BUNGE LA KATIBA

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo . Stori: Mwandishi Wetu, Iringa
MAASKOFU wa Madhehebu ya Kikristo mkoani hapa wamelionya  bunge la katiba na kuwataka wajumbe wake kuzingatia mahitaji ya wananchi wakati wa kuandika katiba mpya. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Maaskofu wanena Bunge la Katiba

Rais wa TEC ambaye pia ni Askofu wa Jimbo Kuu la Iringa, Tarcisius NgalalekumtwaBARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa waraka wa pili kuhusu Katiba mpya kwa Watanzania, ambao umetuma ujumbe mzito kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ukisisitiza Katiba ijayo iwe ya kuleta mema, kuimarisha amani na utulivu wa nchi.

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI WA DINI WATIA NENO PANYA ROAD

Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum. Stori: Gabriel Ng’osha
BAADHI ya viongozi wa dini jijini Dar es Salaam, wametoa neno juu ya vurugu zilizofanywa wiki iliyopita na vijana wanaosadikika kuunda kundi linalojulikana kama Panya Road, Risasi Jumatano lina habari kamili. Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa, aliliambia gazeti hili kuwa ukosefu wa ajira ni sehemu mojawapo inayozalisha...

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa ‘watia mchanga’ uzinduzi wa Bunge

Wabunge wa vyama vinavyounda Ukawa jana walivuruga Bunge kwa muda kwa kuimba jina la Maalim Seif Sharif Hamad walipokuwa wakipinga kuingia bungeni Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kwa madai kuwa uongozi wake uliisha Novemba 2, baada ya Uchaguzi Mkuu uliofutwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Maaskofu Jukwaa la Wakristo: kataeni Katiba

Jukwaa la Wakristo Tanzania limewataka waumini wake kujiandikisha kwa wingi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, kuisoma Katiba Inayopendekezwa na kujitokeza kuikataa kwa kupiga kura ya “hapana”.

 

10 years ago

Mwananchi

Bagonza: Maaskofu hatujagawanyika kuhusu Katiba

Dar es Salaam. Mjadala kuhusu tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania umezidi kupamba moto baada ya Askofu Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzani (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, kupinga kuwapo kwa mgawanyiko miongoni mwao kama unavyosemwa na Serikali.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

10 years ago

Mwananchi

Masheikh wataka maaskofu waliache Bunge lifanye kazi

Siku mbili baada ya Jukwaa la Wakristo Tanzania kutoa hoja zake kutaka Serikali kuondoa muswada wa sheria itakayosimamia kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi, Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu imelitaka jukwaa hilo kuacha kuingilia Bunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani