UKAWA WAWACHANGANYA WANANCHI
![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwl9r9LVuvLrF2pLDKfMTHuYHt-4EKHGLF*XKPdEsN*n50lKqlNQwoCPG401j86f*X8-AxzYlUt-vAGpRUk3Vbl1/ukawa.png?width=650)
Wajumbe wa umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wakitoka nje ya ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. KITENDO cha wajumbe wa umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutoka nje ya ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma, kimewachanganya sana wananchi, kwani sasa hawajui hatima ya mjadala huo. Wajumbe hao walitoka juzi mara tu baada ya hoja ya Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kwa kile kilichoelezwa kuwa ni ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Jul
CHAMA CHA WANANCHI CUF CHASISITIZA KUWA KATIKA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI ( UKAWA )
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/146.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/244.jpg)
9 years ago
Vijimambo22 Sep
CCM ndio chama kinachopendwa zaidi na wananchi Takwimu zinaonyesha kwamba wananchi hawaelewi nafasi rasmi ya Ukawa
![](http://dar24.com/wp-content/uploads/2015/09/Lowassa-vs-Magufuli.jpg)
Chadema ni chama cha pili kinachopendwa kushinda vyama vingine vya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwoqQOyiMnP9y4tV-xaKmwsyOIREXqtheCisP5EU2TgJjXA72lZcTJsQfjL*ae5aKjUYx8f4Zysch0HaAgsWxXg/DSC_0544.jpg)
MAPACHA WA SHIJA WAWACHANGANYA MABWANA
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Wananchi wamshtaki JK kwa UKAWA
WAKAZI wa Sumbawanga, wamlalamikia Rais Jakaya Kikwete, kuwa ni miongoni watu wanaokwamisha mchakato wa Katiba mpya kutoa kauli tata. Malalamiko hayo wameyatoa juzi mbele ya viongozi wa Umoja wa Katiba...
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Ukawa watumia kauli za Kinana kuichongea CCM kwa wananchi
Na Elias Msuya, Tanga
ZIARA ya Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Juma Duni Haji, imeingia mkoani Tanga huku viongozi walio kwenye msafara wake wakiwakaanga wagombea ubunge wa CCM kwa kauli ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana aliyesema chama chake kimejaa wezi, wanafiki na majambazi.
Kinana alitamka maneno hayo alipozungumza kwenye mkutano wa hadhara mjini Moshi mkoani Kilimanjaro...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Ukawa kuhamasisha wananchi wasipige kura ya maoni Katiba mpya
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6z3QdxQdkY0/VdCyEDOgTkI/AAAAAAABT_o/s3RMgVJKbG4/s72-c/11834941_877006722383728_5940948332150969321_o.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Aug
Lowassa Aanza kivingine: Tunataka Kiongozi anaejali Shida za Wananchi: UKAWA Chaguo lako Mtanzania.
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM WAKATI mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akizindua kampeni zake juzi jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa hadhara, mpinzani wake mkubwa ambaye ni mgombea wa […]
The post Lowassa Aanza kivingine: Tunataka Kiongozi anaejali Shida za Wananchi: UKAWA Chaguo lako Mtanzania. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Sep
Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015.
Katika kampeni za uchaguzi mkuu wa October 2015, Mh. Seif Sharif Hamad aliombea wagombea zake kura za ndio wakiwemo wabunge, madiwani na wawakilishi wa Jibo la Ole, Pia Muheshimiwa alimuombea kura ndugu Edward Lowasa. Katika Sera […]
The post Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015. appeared first on Mzalendo.net.