MAPACHA WA SHIJA WAWACHANGANYA MABWANA
![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwoqQOyiMnP9y4tV-xaKmwsyOIREXqtheCisP5EU2TgJjXA72lZcTJsQfjL*ae5aKjUYx8f4Zysch0HaAgsWxXg/DSC_0544.jpg)
Mwandishi wetu WACHINA! Kutokana na kufanana sura na maumbo waigizaji wa filamu Bongo ambao ni mapacha, Christina Mroni na Regina Mroni ‘Mapacha wa Shija’ wamewaweka katika wakati mgumu marafiki zao wa kiume baada ya kuwachanganya wasijue nani ni nani. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JRbIAU
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAPACHA WA SHIJA WAIBUKA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwl9r9LVuvLrF2pLDKfMTHuYHt-4EKHGLF*XKPdEsN*n50lKqlNQwoCPG401j86f*X8-AxzYlUt-vAGpRUk3Vbl1/ukawa.png?width=650)
UKAWA WAWACHANGANYA WANANCHI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xbc0vWPYETsHtBFR8ayXyrXkq-U99JBU9mN2C5D4erG0O8acumiMHsDchdDHUZI*QQ1owoYIyoAv9qtSaBKQh4uBeZDIgEox/Shamsa.jpg)
SHAMSA AWAKANDIA MABWANA ZAKE
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Kiongozi wa dini anatumikiaje mabwana wawili?
“TANZANIA tuna bahati ya kuwa na mfumo wa siasa na serikali usiofungamana na dini yoyote huku kila mmoja akiwa na uhuru wa kuabudu katika dini yoyote aitakayo, lakini sikubaliani na...
10 years ago
Bongo Movies28 Dec
Thea: Hatuvai Vimini Kusaka Mabwana
MWIGIZAJI Ndumbagwe Misayo maarufu kama Thea, amesema wasanii huvaa sketi fupi ‘vimini’ wakilenga kwenda na wakati na si kujipitisha mbele ya wanaume.
Thea aliiambia Mwanaspoti, kuwa ni kama wanatekeleza wimbo wa mwanamuziki Bwana Misosi ‘Nitoke Vipi’, lakini haimaanishi kwamba wavaaji wote ni wahuni.
“Vimini ni ‘kiki’ tu mjini, watu wengi wanaamini ni sehemu mojawapo ya uvaaji au Nitoke Vipi kama Bwana Misosi alivyosema. Kuna watu wanaamini waigizaji tunaovaa au wanaovaa vimini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT2XoC4UL*-F1qL9B13332NKIh*xDQBzeq1EPOqEdWHQIar5NlHa6UEN*Xg9RXG1qmSg1YtuVo8XvWi-2tfIlI2g/FRONTIJUMAA.jpg)
SKENDO! LULU, WOLPER WAONESHANA JEURI YA MABWANA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwoWEfQr3OyQaxltqC7r8W*fWZzXOE8pvX76U8OUhzgFPEOo0a44UU-4wrQ02GfEn8Y-nggnxXn8DovMtzksXiek/Mapanga.jpg)
AKATWA MAPANGA KWA MADAI YA KUGONGANISHA MABWANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0Jjbl-nEgq-PHq92no2E21KKmmb9*4N4qkR5i7sxjGpwwAqpXnMN-mRM8yjhTaRsYXLS3*GeeRMv9OOgWoXnYDcDAF/aunt.jpg?width=650)
ISHU YA KUTEGEMEA MABWANA, MWAKIFWAMBA AMPONGEZA AUNT EZEKIEL
10 years ago
Bongo Movies27 Feb
UBUYU: Lulu na Jacqueline Wolper Waoneshana Jeuri ya Mabwana!
Warembo na waigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Jacqueline Walper ‘ Wolper’ Massawe wanadaiwa kuoneshana jeuri ya mabwana wakipima ni yupi mwenye mshiko zaidi huku akina Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja ambao awali walikuwa juu wakipotezwa.
Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Gazeti la Ijumaa, wamebaini kwamba, kumekuwa na kasumba ya baadhi ya mastaa hao kutambiana kuwa ni nani zaidi anayemiliki bwana mwenye mawe au mshiko kuliko wengine.
Inadaiwa kwamba, baada ya Lulu...