Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAPACHA WA SHIJA WAWACHANGANYA MABWANA

Mwandishi wetu WACHINA! Kutokana na kufanana sura na maumbo waigizaji wa filamu Bongo ambao ni mapacha, Christina Mroni na Regina Mroni ‘Mapacha wa Shija’ wamewaweka katika wakati mgumu marafiki zao wa kiume baada ya kuwachanganya wasijue nani ni nani. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JRbIAU

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAPACHA WA SHIJA WAIBUKA!

Mapacha wa waliopata umaarufu kupitia kwa mwigizaji, Deogratius Shija, Christina Mroni na Regina Mroni wakiwa kwenye pozi.
Mwandishi wetu
Vunja ukimya! Baada ya kupotea kwa muda mrefu kwenye sanaa ya filamu Bongo, mapacha wa waliopata umaarufu kupitia kwa mwigizaji, Deogratius Shija, Christina Mroni na Regina Mroni, wameibuka na kueleza sababu iliyowapoteza kuwa walikuwa wanalea. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mmoja wa...

 

11 years ago

GPL

UKAWA WAWACHANGANYA WANANCHI

Wajumbe wa umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wakitoka nje ya ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. KITENDO cha wajumbe wa umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutoka nje ya ukumbi wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma, kimewachanganya sana wananchi, kwani sasa hawajui hatima ya mjadala huo.
Wajumbe hao walitoka juzi mara tu baada ya hoja ya Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kwa kile kilichoelezwa kuwa ni
...

 

10 years ago

GPL

SHAMSA AWAKANDIA MABWANA ZAKE

Hamida hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford ameibuka na kuwakandia mabwana aliowahi kutoka nao kimapenzi na kusema kuwa ni wababaishaji na sasa ni bora atafute mwanaume wa kumuoa. Staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford. Akipiga stori na Amani, Shamsa anayetikisa na Filamu ya Chausiku alisema, kwa sasa amejipanga kuolewa wakati wowote iwapo tu mwanaume mwenye sifa anazozitaka atajitokeza. “Wengi niliowahi kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kiongozi wa dini anatumikiaje mabwana wawili?

“TANZANIA tuna bahati ya kuwa na mfumo wa siasa na serikali usiofungamana na dini yoyote huku kila mmoja akiwa na uhuru wa kuabudu katika dini yoyote aitakayo, lakini sikubaliani na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Thea: Hatuvai Vimini Kusaka Mabwana

MWIGIZAJI Ndumbagwe Misayo maarufu kama Thea, amesema wasanii huvaa sketi fupi ‘vimini’ wakilenga kwenda na wakati na si kujipitisha mbele ya wanaume.

Thea aliiambia Mwanaspoti, kuwa ni kama wanatekeleza wimbo wa mwanamuziki Bwana Misosi ‘Nitoke Vipi’, lakini haimaanishi kwamba wavaaji wote ni wahuni.

“Vimini ni ‘kiki’ tu mjini, watu wengi wanaamini ni sehemu mojawapo ya uvaaji au Nitoke Vipi kama Bwana Misosi alivyosema. Kuna watu wanaamini waigizaji tunaovaa au wanaovaa vimini...

 

10 years ago

GPL

SKENDO! LULU, WOLPER WAONESHANA JEURI YA MABWANA!

Stori:musa mateja/Ijumaa
Sakata la kupangishiwa nyumba za kifahari na wanaume linazidi kuchukua sura mpya kwa mastaa wa kike ndani ya tasnia ya sinema za Kibongo ambapo safari hii mastaa wawili, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Jacqueline Walper ‘ Wolper’ Massawe wanadaiwa kuoneshana jeuri ya mabwana wakipima ni yupi mwenye mshiko zaidi huku akina Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja ambao awali walikuwa juu...

 

10 years ago

GPL

AKATWA MAPANGA KWA MADAI YA KUGONGANISHA MABWANA

Na Gregory Nyankaira, Butiama
MCHEPUKO usitajwe kwako! Mrembo aliyejulikana kwa jina la Bahati Nyamkira (20) (pichani), mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, Mara, amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na mwanaume anayedaiwa kuwa hawara yake kisa kikisemekana ni kumkuta akiwa na hawara mwingine, (kuwagonganisha). Bahati Nyamkira amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga...

 

11 years ago

GPL

ISHU YA KUTEGEMEA MABWANA, MWAKIFWAMBA AMPONGEZA AUNT EZEKIEL

Na Gladness Mallya
RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba amempongeza msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel baada ya hivi karibuni kuandikwa kwenye mitandao mbalimbali kwamba sanaa hailipi hivyo wasanii wa kike wanaishi kwa kupewa fedha na wanaume zao. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba. Akistorisha na paparazi wetu, Mwakifwamba alisema kauli hiyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

UBUYU: Lulu na Jacqueline Wolper Waoneshana Jeuri ya Mabwana!

Warembo na waigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Jacqueline Walper ‘ Wolper’ Massawe wanadaiwa kuoneshana jeuri ya mabwana wakipima ni yupi mwenye mshiko zaidi huku akina Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja ambao awali walikuwa juu wakipotezwa.

Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Gazeti la Ijumaa, wamebaini  kwamba, kumekuwa na kasumba ya baadhi ya mastaa hao kutambiana kuwa ni nani zaidi anayemiliki bwana mwenye mawe au mshiko kuliko wengine.

Inadaiwa kwamba, baada ya Lulu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani