Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHAMSA AWAKANDIA MABWANA ZAKE

Hamida hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford ameibuka na kuwakandia mabwana aliowahi kutoka nao kimapenzi na kusema kuwa ni wababaishaji na sasa ni bora atafute mwanaume wa kumuoa. Staa wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford. Akipiga stori na Amani, Shamsa anayetikisa na Filamu ya Chausiku alisema, kwa sasa amejipanga kuolewa wakati wowote iwapo tu mwanaume mwenye sifa anazozitaka atajitokeza. “Wengi niliowahi kuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...


LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...Linah amesema anatarajia kumtangaza rasmimpenzi wake mpya ambaye amedai ni msaniimkubwa wa nchini Nigeria.LinahAkizungumza na kipindi cha Planet Bongo chaEast Africa Radio, Linah alisema anampendampenzi wake huyo mpya na kwamba siku ikifika,ataamua kumweka wazi ili mashabikiwamtambue.“Uhusiano wangu mpya ni wa msanii mkubwasana, yaani huyo nampenda na hii sio project iporeal, mtamuona tu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford Atoboa ‘Negative Sides’ Zake 20 Usizozijua

Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ameandika haya kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram.

Morning my people..hizi ndo my negative sides

(1) Nina wivu kupitiliza kwa mtu ambae nampenda ingawa sioneshi

(2) Nina kaukorofi nikiudhiwa

(3) Nina hasira sana

(4) Ni mtu ambae nikiamua langu nimeamua

(5) Mimi ni msiri mnooooo

(6) Ni mtu ambae ni mzito kusema shida yangu niko radhi nife nayo kimiya kimiya

(7) Ni mgumu kusamehe

(8) Mtu anaweza kunikosea na nikakaa kimiya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa

Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford  na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.

Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...

 

10 years ago

GPL

PENZI LA NAY, SHAMSA SIWEMA, MUME WA SHAMSA VILIO

Musa mateja na imelda mtema
Penzi matata linalowanyima usingizi baadhi ya watu mjini kwa sasa kati ya mwigizaji wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford na mkali wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe, Ijumaa limesheheni. Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego na Shamsa Ford wakipozi kimahaba. TATIZO MAHABA NIUE
...

 

10 years ago

GPL

MAPACHA WA SHIJA WAWACHANGANYA MABWANA

Mwandishi wetu WACHINA! Kutokana na kufanana sura na maumbo waigizaji wa filamu Bongo ambao ni mapacha, Christina Mroni na Regina Mroni ‘Mapacha wa Shija’ wamewaweka katika wakati mgumu marafiki zao wa kiume baada ya kuwachanganya wasijue nani ni nani. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JRbIAU

 

10 years ago

Bongo Movies

Thea: Hatuvai Vimini Kusaka Mabwana

MWIGIZAJI Ndumbagwe Misayo maarufu kama Thea, amesema wasanii huvaa sketi fupi ‘vimini’ wakilenga kwenda na wakati na si kujipitisha mbele ya wanaume.

Thea aliiambia Mwanaspoti, kuwa ni kama wanatekeleza wimbo wa mwanamuziki Bwana Misosi ‘Nitoke Vipi’, lakini haimaanishi kwamba wavaaji wote ni wahuni.

“Vimini ni ‘kiki’ tu mjini, watu wengi wanaamini ni sehemu mojawapo ya uvaaji au Nitoke Vipi kama Bwana Misosi alivyosema. Kuna watu wanaamini waigizaji tunaovaa au wanaovaa vimini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kiongozi wa dini anatumikiaje mabwana wawili?

“TANZANIA tuna bahati ya kuwa na mfumo wa siasa na serikali usiofungamana na dini yoyote huku kila mmoja akiwa na uhuru wa kuabudu katika dini yoyote aitakayo, lakini sikubaliani na...

 

10 years ago

GPL

SKENDO! LULU, WOLPER WAONESHANA JEURI YA MABWANA!

Stori:musa mateja/Ijumaa
Sakata la kupangishiwa nyumba za kifahari na wanaume linazidi kuchukua sura mpya kwa mastaa wa kike ndani ya tasnia ya sinema za Kibongo ambapo safari hii mastaa wawili, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Jacqueline Walper ‘ Wolper’ Massawe wanadaiwa kuoneshana jeuri ya mabwana wakipima ni yupi mwenye mshiko zaidi huku akina Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja ambao awali walikuwa juu...

 

10 years ago

GPL

AKATWA MAPANGA KWA MADAI YA KUGONGANISHA MABWANA

Na Gregory Nyankaira, Butiama
MCHEPUKO usitajwe kwako! Mrembo aliyejulikana kwa jina la Bahati Nyamkira (20) (pichani), mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, Mara, amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na mwanaume anayedaiwa kuwa hawara yake kisa kikisemekana ni kumkuta akiwa na hawara mwingine, (kuwagonganisha). Bahati Nyamkira amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani