UKAWA wawasha moto
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umetishia kuongoza maandamano ya Watanzania nchi nzima kupaza sauti zao kupitia mikutano ya hadhara, iwapo Rais Jakaya Kikwete atashindwa kutumia mamlaka yake kusitisha Bunge...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii11 Sep
UKAWA WAWASHA MOTO TENA
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Wawakilishi CUF wawasha moto
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI Jumuiya za kimataifa zikiendelea kushinikiza mgogoro wa kisiasa Zanzibar umalizwe, wawakilishi wateule 27 wa CUF Zanzibar, wamepigilia msumari wakisema wao ni wawakilishi halali na kwamba hawatambui kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar.
Wawakilishi hao wamesema kuwa, sheria na Katiba ya Zanzibar haziruhusu mtu yeyote kufuta matokeo yao, kwa kuwa walishatangazwa na kupewa vyeti vya ushindi.
Wawakilishi hao 18 kutoka Pemba na tisa kutoka Unguja ambao ni kati ya...
11 years ago
GPLCHEGE,YP WAWASHA MOTO COCO BEACH
10 years ago
Bongo518 Aug
Kili Music Tour 2014: Wasanii wawasha moto Dodoma
11 years ago
GPLMZEE YUSUF NA JAHAZI WAWASHA MOTO DAR LIVE SIKUKUU YA KRISMASI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEeTvJLE1hiL1F2X6MJwUo9K0sPyqvuv7R4tVhBU0pWK0iQRFn641QlrSLBidysTUYqsGmxAVQxCosXPq4psUleEMl0HKiP0/SAYONATWISTSHOODARLIVE11.jpg?width=650)
NATURE, MZEE YUSUF, TUNDA MAN, KHADIJA KOPA, SNURA, KR, BAMBO WAWASHA MOTO SHOO YA SAYONA DAR LIVE
11 years ago
Tanzania Daima01 May
UKAWA moto
VIONGOZI wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wametikisa Zanzibar huku wakitoa wito wa kutaka Zanzibar iwe huru. Ikiwa ni mara yao kwanza tangu wapate kibali cha Polisi kufanya mkutano...
10 years ago
Mtanzania11 Sep
Ukawa moto tena
![Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ukawa-viongozi.jpg)
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
NA WAANDISHI WETU
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umewasha moto tena.
Moto huo, unatoka na Ukawa kumwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha mara moja vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma kwa nia ya kuepusha upotevu wa fedha za walipakodi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kutoa tamko la umoja huo, Mwenyekiti wa Maridhiano, James Mbatia, alisema...
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
UKAWA kuwasha moto kesho Jangwani
MWENYEKITI wa Kamati ya Ufundi na Oganaizesheni ya Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA), Benson Kigaila, amesema serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM), inawaandaa watanzania kusaka njia mbadala ya kutafuta...