UKAWA moto
VIONGOZI wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wametikisa Zanzibar huku wakitoa wito wa kutaka Zanzibar iwe huru. Ikiwa ni mara yao kwanza tangu wapate kibali cha Polisi kufanya mkutano...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania11 Sep
Ukawa moto tena
![Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ukawa-viongozi.jpg)
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
NA WAANDISHI WETU
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umewasha moto tena.
Moto huo, unatoka na Ukawa kumwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha mara moja vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma kwa nia ya kuepusha upotevu wa fedha za walipakodi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kutoa tamko la umoja huo, Mwenyekiti wa Maridhiano, James Mbatia, alisema...
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
UKAWA wawasha moto
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umetishia kuongoza maandamano ya Watanzania nchi nzima kupaza sauti zao kupitia mikutano ya hadhara, iwapo Rais Jakaya Kikwete atashindwa kutumia mamlaka yake kusitisha Bunge...
10 years ago
KwanzaJamii11 Sep
UKAWA WAWASHA MOTO TENA
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
UKAWA kuwasha moto kesho Jangwani
MWENYEKITI wa Kamati ya Ufundi na Oganaizesheni ya Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA), Benson Kigaila, amesema serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM), inawaandaa watanzania kusaka njia mbadala ya kutafuta...
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Majimbo Ukawa hadharani, 12 bado moto
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Breaking News: Vijana wa UKAWA Mwanza Wachoma MOto Masanduku Yaliopigwa Kura Za MAGUFULI na Wamshikilia Dereva Aliebeba Masanduku hayo
HABARI NJEMA…. Tumepokea taarifa kutoka Mwanza, Geita, Shinyanga, Mara na Kagera muda huu saa 4.15 usiku.. Masanduku 3,470 yamekamatwa kwenye magari ya serikali (TANROADS) Yakiwa na jumla ya kura 1,600,00 za Magufuli. Vijana wamekubaliana walale vituoni […]
The post Breaking News: Vijana wa UKAWA Mwanza Wachoma MOto Masanduku Yaliopigwa Kura Za MAGUFULI na Wamshikilia Dereva Aliebeba Masanduku hayo appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
VijimamboMAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sDCRRixujJY/VGhk9zmlUXI/AAAAAAAAvsY/9rDoqXLpllo/s640/jones_1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s72-c/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
utumiaji mbaya wa mitandao wapamba moto, Naura spring hotel yazushiwa kuungua moto, polisi yakanusha
![](https://4.bp.blogspot.com/-X5RGQ-FX9SE/U8lfIZDX18I/AAAAAAACzFM/YYTXfOak2oc/s1600/NAURA+SPRING.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s1600/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
10 years ago
GPL15 Jan