Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa moto tena

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

NA WAANDISHI WETU

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umewasha moto tena.

Moto huo, unatoka na Ukawa kumwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha mara moja vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma kwa nia ya kuepusha upotevu wa fedha za walipakodi.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kutoa tamko la umoja huo, Mwenyekiti wa Maridhiano, James Mbatia, alisema...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

KwanzaJamii

UKAWA WAWASHA MOTO TENA

Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Freeman Mbowe NA WAANDISHI WETU UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umewasha moto tena. Moto huo, unatoka na Ukawa kumwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha mara moja vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma kwa nia ya kuepusha upotevu wa fedha za walipakodi. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kutoa tamko la umoja huo, Mwenyekiti wa Maridhiano, James Mbatia, alisema baada ya majadiliano kati ya Rais...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msikiti wa Mtambani waungua moto tena

MSIKITI wa Mtambani, Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, umeungua moto tena. Awali msikiti huo uliungua moto Agosti 13, mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA moto

VIONGOZI wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wametikisa Zanzibar huku wakitoa wito wa kutaka Zanzibar iwe huru. Ikiwa ni mara yao kwanza tangu wapate kibali cha Polisi kufanya mkutano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wawasha moto

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umetishia kuongoza maandamano ya Watanzania nchi nzima kupaza sauti zao kupitia mikutano ya hadhara, iwapo Rais Jakaya Kikwete atashindwa kutumia mamlaka yake kusitisha Bunge...

 

10 years ago

Mtanzania

CCM yawaangukia tena Ukawa

Nape Nnauye

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Nape Nnauye

NA FREDY AZZAH, DODOMA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimempa kibarua kingine Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kuendelea na mazungumzo ya kusaka mwafaka na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ili kunusuru mchakato wa Katiba mpya.

Pamoja na hatua hiyo, CCM imesema imesikitishwa na hatua ya kuvunjika kwa mazungumzo yaliyohusisha viongozi wake na wale wa CUF, Chadema na NCCR-Mageuzi.

Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mutungi kuwakutanisha tena CCM, Ukawa

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amesema kuwa mkutano wa maridhiano kati ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wale wa Chama cha Mapinduzi (CCM), unaweza kuitishwa tena siku yoyote ili kurejea kwenye majadiliano yao

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Moto wazuka tena katika Msikiti wa Mtambani leo

Msikiti  wa  Mtambani uliopo Kinondoni jijini Dar es Saam uliungua kwa mara ya pili leo.  Msikiti huo ambao uliungua  mnamo Agosti 13, 2014 katika ghorofa yake ya juu na kuteketeza  eneo kubwa ambalo hadi sasa bado halijanza kufanyiwa  ukarabati.Leo hii moto ambao inasemekana ulianza mmajira ya saa sita na nusu mchana   katika moja ya chumba ambacho wanafunzi wa kidato cha nne  wa kike wamekuwa wakipiga kambi ya kujisomea ikiwa ni katika maandalizi ya kukabiliana na mtihani wao wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Majimbo Ukawa hadharani, 12 bado moto

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimetangaza mgawanyo wa majimbo 253 kati ya 265 ya ubunge huku 12 yaliyokuwa kwenye mvutano yakibaki kiporo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA kuwasha moto kesho Jangwani

MWENYEKITI wa Kamati ya Ufundi na Oganaizesheni ya Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA), Benson Kigaila, amesema serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM), inawaandaa watanzania kusaka njia mbadala ya kutafuta...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani