Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yawaangukia tena Ukawa

Nape Nnauye

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Nape Nnauye

NA FREDY AZZAH, DODOMA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimempa kibarua kingine Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kuendelea na mazungumzo ya kusaka mwafaka na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ili kunusuru mchakato wa Katiba mpya.

Pamoja na hatua hiyo, CCM imesema imesikitishwa na hatua ya kuvunjika kwa mazungumzo yaliyohusisha viongozi wake na wale wa CUF, Chadema na NCCR-Mageuzi.

Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yawaangukia Ukawa

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewaomba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), warejee bungeni ili waweze kukamilisha kazi ya kuandika katiba mpya....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji tena Kiteto, Serikali yawaangukia viongozi wa siasa

WAKATI mkulima Hassan Kondeya ameuawa jana na kundi la wafugaji wa kabila la Masai, Serikali imetoa kauli kuhusiana na hali tete ya mauaji ya mara kwa mara wilayani humo. Akitoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mutungi kuwakutanisha tena CCM, Ukawa

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amesema kuwa mkutano wa maridhiano kati ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wale wa Chama cha Mapinduzi (CCM), unaweza kuitishwa tena siku yoyote ili kurejea kwenye majadiliano yao

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa moto tena

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

NA WAANDISHI WETU

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umewasha moto tena.

Moto huo, unatoka na Ukawa kumwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha mara moja vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma kwa nia ya kuepusha upotevu wa fedha za walipakodi.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kutoa tamko la umoja huo, Mwenyekiti wa Maridhiano, James Mbatia, alisema...

 

10 years ago

KwanzaJamii

UKAWA WAWASHA MOTO TENA

Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Freeman Mbowe NA WAANDISHI WETU UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umewasha moto tena. Moto huo, unatoka na Ukawa kumwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha mara moja vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma kwa nia ya kuepusha upotevu wa fedha za walipakodi. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kutoa tamko la umoja huo, Mwenyekiti wa Maridhiano, James Mbatia, alisema baada ya majadiliano kati ya Rais...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi yawapiga ‘stop’ tena Ukawa Zanzibar

Jeshi la Polisi Zanzibar limeendelea kuuchelewesha mkutano wa wanachama wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kwa madai kwamba hakuna askari wa kutosha kuulinda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam yawaangukia mashabiki

UONGOZI wa klabu ya Azam ya Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam, kwa niaba ya benchi la ufundi na wachezaji, umewaomba radhi mashabiki wanaoipenda na kuiunga mkono...

 

11 years ago

Mtanzania

Tanesco yawaangukia walimu

Shirika la Umeme Tanzania, Tanesco

Shirika la Umeme Tanzania, Tanesco

NA HUMPHREY SHAO, DAR ES SALAAM

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limewataka walimu wanaofundisha shule za msingi za Serikali kutoa elimu kuhusu matumizi sahihi ya umeme kwa wanafunzi.

Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam jana na Meneja wa Afya na Usalama Kazini wa TANESCO, Mhandisi Mayige Mabula, alipokuwa akizungumza na wanafunzi na walimu wa Shule ya Msingi Ubungo National Housing.

Alisema ikiwa elimu itatolewa kwa wanafunzi, ni wazi itasaidia kuepuka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ifa Band yawaangukia wadau

IFA Band yenye maskani yake Mburahati Madoto jijini Dar es Salaam imeomba kusaidiwa vyombo vya muziki ili iweze kusongesha tasnia ya muziki wa dansi na kukabiliana na hali ya soko la ajira hapa nchini. Bendi hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani