Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mutungi kuwakutanisha tena CCM, Ukawa

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amesema kuwa mkutano wa maridhiano kati ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wale wa Chama cha Mapinduzi (CCM), unaweza kuitishwa tena siku yoyote ili kurejea kwenye majadiliano yao

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

CCM yawaangukia tena Ukawa

Nape Nnauye

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Nape Nnauye

NA FREDY AZZAH, DODOMA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimempa kibarua kingine Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kuendelea na mazungumzo ya kusaka mwafaka na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ili kunusuru mchakato wa Katiba mpya.

Pamoja na hatua hiyo, CCM imesema imesikitishwa na hatua ya kuvunjika kwa mazungumzo yaliyohusisha viongozi wake na wale wa CUF, Chadema na NCCR-Mageuzi.

Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Mutungi: Ruzuku ni changamoto kwa Ukawa

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) unakabiliwa na changamoto kubwa suala la ruzuku.

 

11 years ago

Habarileo

Jaji Mutungi atafuta upenyo kuwarejesha Ukawa bungeni

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameingilia kati kuondoa changamoto zilizojitokeza katika awamu ya mchakato ya Bunge Maalumu la Katiba ambalo baadhi ya wafuasi wa kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wengi wakiwa viongozi wa vyama vya upinzani, walisusia.

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa moto tena

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

NA WAANDISHI WETU

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umewasha moto tena.

Moto huo, unatoka na Ukawa kumwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha mara moja vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma kwa nia ya kuepusha upotevu wa fedha za walipakodi.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kutoa tamko la umoja huo, Mwenyekiti wa Maridhiano, James Mbatia, alisema...

 

10 years ago

KwanzaJamii

UKAWA WAWASHA MOTO TENA

Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Freeman Mbowe NA WAANDISHI WETU UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umewasha moto tena. Moto huo, unatoka na Ukawa kumwomba Rais Jakaya Kikwete kusitisha mara moja vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma kwa nia ya kuepusha upotevu wa fedha za walipakodi. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kutoa tamko la umoja huo, Mwenyekiti wa Maridhiano, James Mbatia, alisema baada ya majadiliano kati ya Rais...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi yawapiga ‘stop’ tena Ukawa Zanzibar

Jeshi la Polisi Zanzibar limeendelea kuuchelewesha mkutano wa wanachama wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kwa madai kwamba hakuna askari wa kutosha kuulinda.

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuni zaibua tena mdahalo Bunge la #Katiba, Ukawa wahoji kwa nini zibadilishwe [VIDEO]

Wana-UKAWA hao wamesisitiza kamwe hawatakubali mabadiliko yoyote ya kanuni, isipokuwa yale tu ya vipengele vya 37 and 38 vinavyoelekeza namna ya kupiga kura.

 

11 years ago

Mwananchi

ULINGO sasa kuwakutanisha wanawake

 Ikiwa zimebakia siku saba kabla ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, tayari makundi kadhaa ya wanawake yameanza kujipanga kwa ajili ya maadhimisho hayo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

JK kuwakutanisha mahasimu Sudan Kusini leo

RAIS Jakaya Kikwete leo amewaalika viongozi wakuu wa makundi yanayopingana nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na hasimu wake Riek Machar katika meza ya mazungumzo jijini hapa. Mualiko huo umekuja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani