Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA yaiponza CHADEMA

IMEBAINIKA kwamba msukosuko unaotokea katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) unatokana na hasira za serikali kushindwa kushawishi chama hicho na vingine vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kurejea...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Ukawa flag bearer most likely from Chadema to emerge from Chadema

Since the coalition of defenders of people’s constitution (Ukawa), which is comprised by four opposition parties, agreed to field a single candidate at all levels, speculations and questions have been thrown on who will carry the coalition’s flag in the Presidential contest.

 

11 years ago

Mwananchi

Jeuri yaiponza Yanga kwa mahakama

Sakata la Yanga na wachezaji wake Stephen Malashi na  Wisdom Ndlovu, limechukua sura mpya baada ya kubainika viongozi

 

11 years ago

Mtanzania

Chadema kuwatimua waliosaliti Ukawa

Dk. Wilbrod Slaa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa

NA SHABANI MATUTU

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa kazi ya kuwaadhibu wajumbe wa Bunge la Katiba waliokaidi makubaliano ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kwa kuingia katika Bunge Maalumu la Katiba wataadhibiwa na vikao maalumu vya chama.

Hayo aliyasema jijini Dar es Salaam jana, alipokuwa akizungumza na wanahabari.

Alisema yeyote aliyekiuka maazimio ya Ukawa na kuingia kwenye vikao vya Bunge...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema ‘yavunja’ makubaliano Ukawa

Chama cha Chadema kimeviasa vyama vinavyounda Ukawa kuacha malumbano kuhusu majimbo na badala yake kila kimoja kisimamishe mgombea wake kwa yale yaliyo na misuguano.

 

9 years ago

TheCitizen

Ukawa gives Chadema, CUF more seats

The opposition coalition has helped the two parties gain more seats than they did in the previous polls

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mkutano wa Chadema /Ukawa Kawe 01/10/2015

The post Mkutano wa Chadema /Ukawa Kawe 01/10/2015 appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Urais Ukawa, hesabu zinalalia Chadema

>Wakati wenyeviti wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) pamoja na kamati zake za kitaalamu wanakutana Zanzibar kutafuta suluhu kuhusu mgawanyo nafasi za kugombea katika uchaguzi mkuu ujao, kuna uwezekano mkubwa vyama hivyo kuteua mgombea urais kutoka Chadema.

 

10 years ago

Habarileo

Chadema: Mazungumzo na Ukawa jambo la heri

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema mazungumzo ya kusaka muafaka na kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni jambo la heri na kwamba yanastahili kuendelea hadi kufikia suluhu.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi watabiri anguko la Chadema, Ukawa

SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Taifa ya Chadema, Freeman Mbowe kukiri kupumzika kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk Willbrod Slaa, wasomi na wanachama wa chama hicho, wamedai kuwa huo ni mwanzo wa kupasuka kwa chama hicho na kusambaratika kwa umoja wa vyama vinne vya upinzani vinavyounda Ukawa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani