Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema: Mazungumzo na Ukawa jambo la heri

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema mazungumzo ya kusaka muafaka na kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni jambo la heri na kwamba yanastahili kuendelea hadi kufikia suluhu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

POST YA ZARI KUMTAKIA HERI YA KUZALIWA WIFI YAKE YAZUA JAMBO INSTAGRAM

MPENZI wa staa wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' Zarinah Hassan 'The Boss Lady' amemtakia heri ya kuzaliwa wifi yake Esma kupitia akaunti yake ya Instagram huku post yake ikizua jambo kwa mashabiki.Zari.
Zari ambaye bado yupo Bongo, katika post yake hiyo awali aliandika 'Happy bday to my lovely shemeji wifi' ila baadaye aliamua kubadilisha baada ya baadhi ya mashabiki wake kumkosoa huku wengine wakidai anatafuta kiki na baadhi wakimtolea maneno ya kuudhi. Usahihi...

 

11 years ago

Mwananchi

Heri ya Chadema wanachukua uamuzi mgumu

Ikiwa imebaki miaka miwili kufanyika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, vyama vya siasa vimeanza kujiandaa ili kuhakikisha vinashinda uchaguzi huo na kushika dola.

 

10 years ago

Habarileo

JK ataka mazungumzo na Ukawa yaombewe

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amewaomba Watanzania kuombea mazungumzo baina yake na vyama vya siasa vya upinzani, ikiwemo vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA), yanayotarajiwa kuendelea Jumatatu ijayo, yamalizike kwa umoja na mshikamano.

 

11 years ago

Habarileo

Mrema aiombea heri ndoa ya Chadema, CUF, NCCR

 Augustine Mrema MBUNGE wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP ) ametaja ushirikiano wa vyama vitatu vinavyounda kambi rasmi ya upinzani bungeni kwamba ni ndoa ambayo kama wahusika wangekuwa na nia njema, ungeanza siku nyingi tangu Chadema kilipounda baraza lake mwaka 2010.

 

10 years ago

Vijimambo

JAMBO CONCEPTS (T) LTD, WACHAPISHAJI WA GAZETI LA JAMBO LEO WAPATA MSIBA TENA



Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ni msiba tena Jambo Concepts (T) Ltd, wachapishaji wa Gazeti la Jambo Leo

IMG_8831

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.

Marehemu...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta: Niko tayari kwa mazungumzo na Ukawa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaMWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema ofisi yake ipo tayari kwa mazungumzo na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), ikiwa ni njia ya kuwezesha mchakato wa kutunga Katiba kuendelea kwa pamoja na kwa amani.

 

10 years ago

TheCitizen

Ukawa flag bearer most likely from Chadema to emerge from Chadema

Since the coalition of defenders of people’s constitution (Ukawa), which is comprised by four opposition parties, agreed to field a single candidate at all levels, speculations and questions have been thrown on who will carry the coalition’s flag in the Presidential contest.

 

9 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND INAWATAKIA HERI YA SIKUU YA MAULID NA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya The Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni inayoongozwa na Kamanda  Ras Makunja yenye maskani nchini ujerumani inawatakieni kila la heri katika siku kuu ya Maulid el Nabii Muhammad(S.W.A) pia Heri ya siku kuu ya Krismasi kwa wadau wote iwena amani,upendo,furaha na mshikamano bila kusahau kupata muziki at www.ngoma-africa.com au www.reverbnation.com/ngomaafricabandjumuika nao at www.facebook.com/ngomaafricaband

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani