Chadema: Mazungumzo na Ukawa jambo la heri
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema mazungumzo ya kusaka muafaka na kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni jambo la heri na kwamba yanastahili kuendelea hadi kufikia suluhu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Feb
POST YA ZARI KUMTAKIA HERI YA KUZALIWA WIFI YAKE YAZUA JAMBO INSTAGRAM
![](http://api.ning.com/files/2xPSDbl5pyh9l3r20vG0Iy5xgePUxs*zBI7gMtGbR-56lWab3*oRr1YfQ8LiOgvhdneGAyWNJBMmUi*cFqKQI6dZzpKzWn4Q/zari5.jpg)
Zari ambaye bado yupo Bongo, katika post yake hiyo awali aliandika 'Happy bday to my lovely shemeji wifi' ila baadaye aliamua kubadilisha baada ya baadhi ya mashabiki wake kumkosoa huku wengine wakidai anatafuta kiki na baadhi wakimtolea maneno ya kuudhi. Usahihi...
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Heri ya Chadema wanachukua uamuzi mgumu
10 years ago
Habarileo05 Sep
JK ataka mazungumzo na Ukawa yaombewe
RAIS Jakaya Kikwete amewaomba Watanzania kuombea mazungumzo baina yake na vyama vya siasa vya upinzani, ikiwemo vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA), yanayotarajiwa kuendelea Jumatatu ijayo, yamalizike kwa umoja na mshikamano.
11 years ago
Habarileo12 May
Mrema aiombea heri ndoa ya Chadema, CUF, NCCR
MBUNGE wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP ) ametaja ushirikiano wa vyama vitatu vinavyounda kambi rasmi ya upinzani bungeni kwamba ni ndoa ambayo kama wahusika wangekuwa na nia njema, ungeanza siku nyingi tangu Chadema kilipounda baraza lake mwaka 2010.
10 years ago
VijimamboJAMBO CONCEPTS (T) LTD, WACHAPISHAJI WA GAZETI LA JAMBO LEO WAPATA MSIBA TENA
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Ni msiba tena Jambo Concepts (T) Ltd, wachapishaji wa Gazeti la Jambo Leo
![IMG_8831](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_8831.jpg)
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...
11 years ago
Habarileo19 Apr
Sitta: Niko tayari kwa mazungumzo na Ukawa
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema ofisi yake ipo tayari kwa mazungumzo na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), ikiwa ni njia ya kuwezesha mchakato wa kutunga Katiba kuendelea kwa pamoja na kwa amani.
10 years ago
TheCitizen13 May
Ukawa flag bearer most likely from Chadema to emerge from Chadema
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aPQjhxn7Wg4/Vn2euuf_S9I/AAAAAAAIOto/BQgTB_THbpU/s72-c/ca5c547c-ae11-441a-84b2-c8d5c58f54c1.jpg)
NGOMA AFRICA BAND INAWATAKIA HERI YA SIKUU YA MAULID NA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-aPQjhxn7Wg4/Vn2euuf_S9I/AAAAAAAIOto/BQgTB_THbpU/s640/ca5c547c-ae11-441a-84b2-c8d5c58f54c1.jpg)