Ulaya wataka Blatter ajiuzulu kwa usemi
Maafisa wa kandanda wa Europa sasa wamemtaka rais wa shirikisho la kimataifa la kandanda FIFA, Sepp Blatter, ajuzulu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLBLATTER AJIUZULU FIFA
10 years ago
GPLBLATTER AJIUZULU URAIS FIFA
10 years ago
Africanjam.ComRAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
Lakini alisema kuwa mamlaka yake hayaungwi mkono na kila mtu. Shirikisho la FIFA lilikumbwa na mgogoro wa kukamatwa kwa maafisa wake...
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wataka Tanzania kuhakikisha inaheshimu utawala bora suala sheria ya makosa ya Kimtandao
Joint Statement on Human Rights Infringements-LHRC_FIN_SWH.pdf
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.
Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.
Licha ya kuwafungia miaka...
11 years ago
MichuziULE USEMI WA " UZEE MWISHO CHALIZE" UMEPEWA JINA LA MAZOEZI YA KUKATA UZITO !
11 years ago
GPLKUZAMA KWA FERI, WAZIRI MKUU KOREA KUSINI AJIUZULU
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Blatter alazwa kwa kupata mshituko
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
FIFA: Blatter na Platini nje kwa mika 8