Ulinzi ofisi za Tume ya Uchaguzi ‘usipime’
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inachukua hatua ili kulinda vifaa na taarifa nyeti za uchaguzi. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey alisema huo umekuwa utaratibu wa kila mwaka inapokaribia siku ya kupiga kura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pK3LLEBRolQ/Xkjb1gaIkxI/AAAAAAACyts/WwarCFKc0HwSWo2NVNLygWeoh0UVzQoMQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAFUNGA MNYORORO OFISI ZA TUME YA UCHAGUZI MALWI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pK3LLEBRolQ/Xkjb1gaIkxI/AAAAAAACyts/WwarCFKc0HwSWo2NVNLygWeoh0UVzQoMQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Hali nchini Malawi haijatulia hata baada ya Mahakama ya Kikatiba juzi kutupilia mbali ya rufaa ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Arthur Peter Mutharika ya kuzuia uchaguzi mwingine.
Jana waandamanaji walifika katika ofisi za tume ya uchaguzi na kisha kufunga kwa mnyororo ofisi hizo kama njia ya kumlazimisha mwenyekiti wake kujiuzulu baada ya uamuzi huo wa mahakama.
Mamia ya waandamanaji hao walitembea kwa kilomita tano hadi kufika katika ofisi za tume hiyo zilizoko Blantyre, na kufunga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7466U3ZMMqXfMZoB50UgnnOVXHgLCJs*G*cPmFHNF8Htdh3jWZvlgwQHQo1HwcdtWd39mMfjkIXfSCvoDEaHXLeTELtwpfee/FRONTIJUMAA.gif)
ULINZI WA OBAMA KENYA USIPIME
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Ivo ajifua Sauzi, ulinzi wa Yanga usipime
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mhe. Nyanduga akitoa tamko kuhusu ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Ushauri wa THBUB kwa Tume ya Uchaguzi Zbar.doc
9 years ago
Mzalendo Zanzibar01 Oct
CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika Thursday, October 1, 2015 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebanwa mbavu ikitakiwa kutoa hadharani Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa uandikishaji wa wapigakura ulivyofanyika nchi […]
The post CHADEMA Wazidi Kuikaba Koo Tume Ya Uchaguzi……Wasema Watatangaza Matokeo Ya Urais Kabla Ya Tume Kuyatangaza appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RNHlHMsJ1j4/VlC59msV4WI/AAAAAAAIHsE/Gy-uxMbRzpg/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
GPLTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATAJA TAREHE YA UCHAGUZI LUSHOTO, ULANGA MASHARIKI