Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ULINZI WA OBAMA KENYA USIPIME

Sifael Paul na mtandao Ni Obama kila kona! Muda wowote kuanzia leo wananchi wa Kenya watashuhudia kutua kwa Rais wa Marekani, Barack Hussein Obama, nchini humo huku stori kubwa ikiwa ni ulinzi uliowekwa kwa hofu ya kundi ‘haramu’ la ugaidi la Alshabaab, Ijumaa linakupeleka hadi kwa majirani zetu hao...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Iq6LnF ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ulinzi ofisi za Tume ya Uchaguzi ‘usipime’

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inachukua hatua ili kulinda vifaa na taarifa nyeti za uchaguzi. Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey alisema huo umekuwa utaratibu wa kila mwaka inapokaribia siku ya kupiga kura.

 

10 years ago

Mwananchi

Ivo ajifua Sauzi, ulinzi wa Yanga usipime

Homa ya pambano la watani wa jadi imezidi kupanda, baada ya Simba kulazimika kumrudisha kundini kipa wake majeruhi, Ivo Mapunda na Yanga wakiweka ulinzi mkali katika mazoezi ya timu hiyo yanayofanyika kwenye Uwanja wa Boko Veteran, Bunju jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mlinzi wa Obama aliyejiuzulu ulinzi mbovu

OKTOBA Mosi  mwaka huu, Mkuu wa Idara ya Usalama  wa ikulu ya  Marekani, Julia Pierson,  aliyekuwa na jukumu la kumlinda Rais Barack Obama, alitangaza kujiuzulu kutokana na matukio yenye kuhatarisha usalama wa taifa ....

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wadhibiti ulinzi Kenya

Maafisa wa usalama nchini Kenya wamedhibiti ulinzi baada ya kunasa silaha nzito kutoka kwa watu wanaoshukiwa kuwa magaidi mjini Mombasa Pwani ya Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama awasili Kenya

Rais Barrack Obama wa Marekani, tayari amewasili mjini Nairobi

 

10 years ago

Mwananchi

Kishindo cha Obama Kenya

>Shangwe na shamrashamra zimeendelea kutawala mjini Nairobi kufuatia kuwasili kwa Rais wa Marekani Barack Obama aliyewasili jana akiwa ameambatana na ujumbe mzito.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama kuzuru Kenya Julai

Ikulu ya Whitehouse imethibitisha kuwa Rais wa Marekani Barrack Obama atazuru Kenya mwezi Julai taifa la babake

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA RAIS OBAMA KENYA


Video kwa hisani ya VOA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani